Nyani Mzee Snr
JF-Expert Member
- Feb 4, 2021
- 12,122
- 42,756
Vurugu hizo😁
Anatamani amsemeshe ila anakosa point.. ndio taabu ya kuchoma madaraja baada ya kuvukaVurugu hizo😁
Alishaharibu bc, ajipange upya tu.Nasibu n mwelewa sanaAnatamani amsemeshe ila anakosa point.. ndio taabu ya kuchoma madaraja baada ya kuvuka
Nasubiri afulie kama markmuga tuAlishaharibu bc, ajipange upya tu.Nasibu n mwelewa sana
🤣🤣🤣🤣 Una swali la uchonganishikwan alikiba alishawai ichukua, maana ndo mkongwe kuliko wooote katika hao
Yule aliyeimbaga hiyo nyimbo juz kaimba nyimbo ya wosia kweli n wosia kwel kwel😆😆Nasubiri afulie kama markmuga tu
We umeshachukua hiyo tuzoNyinyi tuzo za Grammy mtachukua lini, au mnajishebedua kwenye mitandao ya kijamii hamna lolote, Mara Paula, Mara ngono, Mara supa woman, yani upuuzi upuuzi tu, tuzo za Grammy mtaishikia kuzisikia kwenye masikio yenu kwa kujisifu huku Ku handle video ya ngono ya Paula na rayvany
Vyovyote utavopenda kuwaita ni sawa.Hivi hao ni mameneja au wataalamu wa fitna na ulozi?
Nashangaa ulivyokuwa busy.nilifikiri namjibu mtu anaejielewa kumbe shabiki maandazi aliyejaa chuki. nna hakika hata nilichokijibu hapo umetoka kapa umekimbilia kuonyesha chuki zako
Roho mbaya usiigeuze kuwa uniform ya maisha yako. Utateseka sana na hii duniaNashangaa ulivyokuwa busy.
Siku moja Rich Mavoko alikua anahojiwa kuhusu yeye Kuondoka WCB, inasemekana Mond yuko serious kupita maelezo yaan inaonekana Mond ndio chief organizer kwenye kila kitu and he is extremely serious, jamaa tunamchukukia poa kumbe anafanya sana kazi, pia naanza kuamini matukio yanayofanywa na WCB mara nyingi zinakuwa orchestrated kama kiki ili waendelee kubaki kwenye mainstream, jamaa hawalali. Ila huyo Mavoko kwa maelezo yake alikua anamkwepa Diamond kutokana na jamaa kuwa serious na kazi all the time hadi jamaa anakosa muda wa kurelax.Mii siamini katika uwezo wa hawa jamaa kwa kiwango hicho. Ukiwaangalia hawa mameneja wote ni watu waliofeli katika menejimenti zao huko nyuma. Fella aliishindwa TMK Wanaume Family na ndiyo kwanza ikagawanyika na kumfia mikononi. Ikaja Ya Moto Band. Muangalie Babu Tale, huyu ndiyo kabisa, pale Tip Top Connection alikuwa kama boya tu. Alishindwa kuifanya ipae kimafanikio licha ya kuwa na vichwa vingi vinavyojua. Na huyo Salla mii ndiyo sielewagi. Eti alikuwa meneja wa AY. Tujiulize AY ana mafanikio gani kimuziki zaidi ya kujibrand yeye kama yeye. Kama AY ana nyimbo hits, basi ni za kawaida tu kama akina Belle 9, Juma Nature na wengine wa kawaida ambao wanabahatikaga kuwa na hit.
Mimi kwa uelewa wangu, najua hao wote wanafuata maelekezo ya Diamond. Huyu dogo wa Tandale aliona jamaa wana skills lakini hawajui kuzitumia, so kawakusanya na wote wanafuata vision ya dogo. Ndiyo maana hata ukiwaona wakiwa na Diamond, wanaonyesha jinsi wanavyomuogopa, maana wanajua akiwamwaga hawana future na hawana ujanja wa kumdropisha dogo
mimi ni nani nipingeMii siamini katika uwezo wa hawa jamaa kwa kiwango hicho. Ukiwaangalia hawa mameneja wote ni watu waliofeli katika menejimenti zao huko nyuma. Fella aliishindwa TMK Wanaume Family na ndiyo kwanza ikagawanyika na kumfia mikononi. Ikaja Ya Moto Band. Muangalie Babu Tale, huyu ndiyo kabisa, pale Tip Top Connection alikuwa kama boya tu. Alishindwa kuifanya ipae kimafanikio licha ya kuwa na vichwa vingi vinavyojua. Na huyo Salla mii ndiyo sielewagi. Eti alikuwa meneja wa AY. Tujiulize AY ana mafanikio gani kimuziki zaidi ya kujibrand yeye kama yeye. Kama AY ana nyimbo hits, basi ni za kawaida tu kama akina Belle 9, Juma Nature na wengine wa kawaida ambao wanabahatikaga kuwa na hit.
Mimi kwa uelewa wangu, najua hao wote wanafuata maelekezo ya Diamond. Huyu dogo wa Tandale aliona jamaa wana skills lakini hawajui kuzitumia, so kawakusanya na wote wanafuata vision ya dogo. Ndiyo maana hata ukiwaona wakiwa na Diamond, wanaonyesha jinsi wanavyomuogopa, maana wanajua akiwamwaga hawana future na hawana ujanja wa kumdropisha dogo
Hahahaha...Mimi nataka tuzo za Grammy tu za nasibu na mbakaji rayvanyHivi kumbe alikiba nae ame comment humu kwa povu au Billions Unasemaje?
Kigoma Independent na Innocent dependant nae tupe muongozo