Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,956
- 22,138
Mama mangunga mpaka leo wahusika wako mtaani wanakula kuku
hii aibu mpaka doha mama mbona tunatiwa aibu...na mhusika
mkuu mnamjua mnakaa kimya!!!!
Nakupenda tanzania
serikali ya tanzania imeambiwa ihakikishe usalama wa
meno ya tembo;uhuni uliotokea wa kukamatwa meno ya tembo malyasia imeambiwa ni moja ya sababu walizozuiliwa kuuza meno ya tembo;;;aibu sana kwa taifa kama hili kukataliwa kwa sababu ya utapeli kam huu...
hii aibu mpaka doha mama mbona tunatiwa aibu...na mhusika
mkuu mnamjua mnakaa kimya!!!!
Nakupenda tanzania
serikali ya tanzania imeambiwa ihakikishe usalama wa
meno ya tembo;uhuni uliotokea wa kukamatwa meno ya tembo malyasia imeambiwa ni moja ya sababu walizozuiliwa kuuza meno ya tembo;;;aibu sana kwa taifa kama hili kukataliwa kwa sababu ya utapeli kam huu...