Pauline rogat
JF-Expert Member
- May 2, 2020
- 340
- 196
Duh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani sheria ya kutafuta wadhamini ilikuwa inamtaka kutembea kila jimbo? CCM kuna uhaba wa vijana wenye ubongo, yaliyopo kichwani yamebebelea makamasi!!Tanzania Ina majimbo 264 ya ubunge Lisu kutafuta wadhamini kaenda majimbo 20 tu majimbo ambayo hakukanyaga kabisa na kuhutubia Ni majimbo yote ya mikoa ya kusini ,majimbo yote ya zazibar,majimbo yote ya mikoa Kama Tabora,kigoma,katavi,Geita,Kagera, Kigoma,Shinyanga ,Mwanza nk
Hata aliyotembelea angalia utapeli
Manyara majimbo yako Saba katembelea Mona tu
Mbeya yako Saba kaishia moja tu la mbeya mjini kwa Sugu
Kilimanjaro yako 9 katembelea Moja tu Hai kwa Mbowe
Iringa yako 9 katembelea moja tu la Iringa mjini kwa Msigwa
Dodoma yako 10 hata moja hajagusa nk
Hebu fikiria anasema anapendwa nchi nzima kwa kutembelea majimbo 20 tu Kati ya 264!!!! Huu utapeli
Binti yangu umevurugwa siyo kawaida! Poooleeee!!Tanga yako majimbo 12 kutembelea moja apate picha za kuzuga wazungu kuwa Tanga wanampenda
Jamani!! Kama huna cha kuandika acha!!! Nasema ACHAAA!!!!Tanzania Ina majimbo 264 ya ubunge Lisu kutafuta wadhamini kaenda majimbo 20 tu majimbo ambayo hakukanyaga kabisa na kuhutubia Ni majimbo yote ya mikoa ya kusini ,majimbo yote ya zazibar,majimbo yote ya mikoa Kama Tabora,kigoma,katavi,Geita,Kagera, Kigoma,Shinyanga ,Mwanza nk
Hata aliyotembelea angalia utapeli
Manyara majimbo yako Saba katembelea Mona tu
Mbeya yako Saba kaishia moja tu la mbeya mjini kwa Sugu
Kilimanjaro yako 9 katembelea Moja tu Hai kwa Mbowe
Iringa yako 9 katembelea moja tu la Iringa mjini kwa Msigwa
Dodoma yako 10 hata moja hajagusa nk
Hebu fikiria anasema anapendwa nchi nzima kwa kutembelea majimbo 20 tu Kati ya 264!!!! Huu utapeli
Tanga yako majimbo 12 kutembelea moja apate picha za kuzuga wazungu kuwa Tanga wanampenda
Ndio maana kila kukicha jina la Lissu kimekuwa kifungua kinywa cha Ccm na vyombo vya dola.Binafsi naona Hakuna mpinzani dhaifu tangu nchii hii imeanza siasa.. Kama Tindu lissu
#electionoctober
sasa mbona mmeanza kuhara damu mapema namna hii?Binafsi naona Hakuna mpinzani dhaifu tangu nchii hii imeanza siasa.. Kama Tindu lissu
#electionoctober
Haaa. Eti mayai hewaTumia akili, acha kutumia matundu kufikiria!
Hivi siku za kutembea na kuomba wadhamini ni ngapi? Hebu zigawanye kwa hayo majimbo 264 uone utapata jibu gani...!? Je kwa hizo siku zingetosha kutembelea hayo majimbo yote?
Isitoshe hiyo mikoa aliyopita bila shaka wapo wawakilishi waliotoka majimbo ya karibu ili kumdhamini!
Hebu tueleze magu pamoja na kukaa miaka mitano je aliweza kutembelea majimbo yote ili kukagua utekelezaji wa ilani, hasa ile milion 50 kwa kila kijiji?
Sijui ni lini mataga mtaacha kutaga mayai hewa!!
Chadema watakupinga lakini huu ndio ukweli na wataujua baada ya uchaguzi kuisha.Binafsi naona Hakuna mpinzani dhaifu tangu nchii hii imeanza siasa.. Kama Tindu lissu
#electionoctober
Wenzio Lumumba hawalali kwa lissu, pole inaonekana hujui yanayoendelea kwenye nchi yetu.matumbo joto.Binafsi naona Hakuna mpinzani dhaifu tangu nchii hii imeanza siasa.. Kama Tindu lissu
#electionoctober
Mataga mwaka huu lazima mtage mpende msipendeTanzania Ina majimbo 264 ya ubunge Lisu kutafuta wadhamini kaenda majimbo 20 tu majimbo ambayo hakukanyaga kabisa na kuhutubia Ni majimbo yote ya mikoa ya kusini ,majimbo yote ya zazibar,majimbo yote ya mikoa Kama Tabora,kigoma,katavi,Geita,Kagera, Kigoma,Shinyanga ,Mwanza nk
Hata aliyotembelea angalia utapeli
Manyara majimbo yako Saba katembelea Mona tu.
Mbeya yako Saba kaishia moja tu la Mbeya mjini kwa Sugu
Kilimanjaro yako 9 katembelea Moja tu Hai kwa Mbowe
Iringa yako 9 katembelea moja tu la Iringa mjini kwa Msigwa
Dodoma yako 10 hata moja hajagusa nk
Hebu fikiria anasema anapendwa nchi nzima kwa kutembelea majimbo 20 tu Kati ya 264!!!! Huu utapeli
Wazungu mnawajua nyinyi wakopaji kwa mabeberu ili mdanganye watu kuwa mnakubalika kumbe zeroTanga yako majimbo 12 kutembelea moja apate picha za kuzuga wazungu kuwa Tanga wanampenda