Utapeli wa Lissu: Majimbo ya uchaguzi yako 264 yeye katembelea 20 anasema katembea nchi nzima na anapendwa nchi nzima!!

Tanzania Ina majimbo 264 ya ubunge Lisu kutafuta wadhamini kaenda majimbo 20 tu majimbo ambayo hakukanyaga kabisa na kuhutubia Ni majimbo yote ya mikoa ya kusini ,majimbo yote ya zazibar,majimbo yote ya mikoa Kama Tabora,kigoma,katavi,Geita,Kagera, Kigoma,Shinyanga ,Mwanza nk


Hata aliyotembelea angalia utapeli

Manyara majimbo yako Saba katembelea Mona tu

Mbeya yako Saba kaishia moja tu la mbeya mjini kwa Sugu

Kilimanjaro yako 9 katembelea Moja tu Hai kwa Mbowe

Iringa yako 9 katembelea moja tu la Iringa mjini kwa Msigwa

Dodoma yako 10 hata moja hajagusa nk

Hebu fikiria anasema anapendwa nchi nzima kwa kutembelea majimbo 20 tu Kati ya 264!!!! Huu utapeli
Kwani sheria ya kutafuta wadhamini ilikuwa inamtaka kutembea kila jimbo? CCM kuna uhaba wa vijana wenye ubongo, yaliyopo kichwani yamebebelea makamasi!!
 
Tanzania Ina majimbo 264 ya ubunge Lisu kutafuta wadhamini kaenda majimbo 20 tu majimbo ambayo hakukanyaga kabisa na kuhutubia Ni majimbo yote ya mikoa ya kusini ,majimbo yote ya zazibar,majimbo yote ya mikoa Kama Tabora,kigoma,katavi,Geita,Kagera, Kigoma,Shinyanga ,Mwanza nk


Hata aliyotembelea angalia utapeli

Manyara majimbo yako Saba katembelea Mona tu

Mbeya yako Saba kaishia moja tu la mbeya mjini kwa Sugu

Kilimanjaro yako 9 katembelea Moja tu Hai kwa Mbowe

Iringa yako 9 katembelea moja tu la Iringa mjini kwa Msigwa

Dodoma yako 10 hata moja hajagusa nk

Hebu fikiria anasema anapendwa nchi nzima kwa kutembelea majimbo 20 tu Kati ya 264!!!! Huu utapeli
Jamani!! Kama huna cha kuandika acha!!! Nasema ACHAAA!!!!
Lissu kasema ametembelae mikoa karibu yote.. Kabakisha kama mikoa sita. Na hakuwa ana tembelea majimbo bali alikuwa ana tafuta wadhamini. Acheni kuwa mataga..
 
Tanga yako majimbo 12 kutembelea moja apate picha za kuzuga wazungu kuwa Tanga wanampenda

Tumia akili, acha kutumia matundu kufikiria!
Hivi siku za kutembea na kuomba wadhamini ni ngapi? Hebu zigawanye kwa hayo majimbo 264 uone utapata jibu gani...!? Je kwa hizo siku zingetosha kutembelea hayo majimbo yote?
Isitoshe hiyo mikoa aliyopita bila shaka wapo wawakilishi waliotoka majimbo ya karibu ili kumdhamini!
Hebu tueleze magu pamoja na kukaa miaka mitano je aliweza kutembelea majimbo yote ili kukagua utekelezaji wa ilani, hasa ile milion 50 kwa kila kijiji?
Sijui ni lini mataga mtaacha kutaga mayai hewa!!
 
Yaani wewe badala ya kumpamba malaika wako, unaamua kuhamia kwa TL!! Au pumzi imekata? Hakika mwaka huu TL atawajambisha kwe kweli.

Sidhani hata ile nguvu ya wasanii wenu 100 mnayoitumia kama itawasaidia, maana huu ndiyo mwaka wa mwisho kwa udikteta uchwara nchini.
 
Tumia akili, acha kutumia matundu kufikiria!
Hivi siku za kutembea na kuomba wadhamini ni ngapi? Hebu zigawanye kwa hayo majimbo 264 uone utapata jibu gani...!? Je kwa hizo siku zingetosha kutembelea hayo majimbo yote?
Isitoshe hiyo mikoa aliyopita bila shaka wapo wawakilishi waliotoka majimbo ya karibu ili kumdhamini!
Hebu tueleze magu pamoja na kukaa miaka mitano je aliweza kutembelea majimbo yote ili kukagua utekelezaji wa ilani, hasa ile milion 50 kwa kila kijiji?
Sijui ni lini mataga mtaacha kutaga mayai hewa!!
Haaa. Eti mayai hewa
 
Tanzania Ina majimbo 264 ya ubunge Lisu kutafuta wadhamini kaenda majimbo 20 tu majimbo ambayo hakukanyaga kabisa na kuhutubia Ni majimbo yote ya mikoa ya kusini ,majimbo yote ya zazibar,majimbo yote ya mikoa Kama Tabora,kigoma,katavi,Geita,Kagera, Kigoma,Shinyanga ,Mwanza nk


Hata aliyotembelea angalia utapeli

Manyara majimbo yako Saba katembelea Mona tu.

Mbeya yako Saba kaishia moja tu la Mbeya mjini kwa Sugu

Kilimanjaro yako 9 katembelea Moja tu Hai kwa Mbowe

Iringa yako 9 katembelea moja tu la Iringa mjini kwa Msigwa

Dodoma yako 10 hata moja hajagusa nk

Hebu fikiria anasema anapendwa nchi nzima kwa kutembelea majimbo 20 tu Kati ya 264!!!! Huu utapeli
Mataga mwaka huu lazima mtage mpende msipende
 
Ziara zake zimeonyesha anahangaika kunusuru majimbo ya Chadema ambako wabunge wamekalia kuti kavu ambalo uchaguzi October linaenda kukatika
 
7 Reactions
Reply
Back
Top Bottom