Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 2,834
- 2,000
WALINITUMIA SMS HIZI:-
24 Feb 2019 SAA 2305
+255 745 995 827 alituma SMS hii:
Tatu Mzuka (JACKPOT) Hongera Umeshinda TSh.6,000,000/=milioni Sita Katika Droo Ya Saa 11 . Tatu Mzuka Inabadilisha Maisha Yako Kamp No 555111 Tupigie Simu. No, 0768146006.
26 Feb 2019 SAA 2158
+255 768 146 006 alituma SMS hii:
Tatu Mzuka (JACKPOT) Hongera Umeshinda TSh.6,000,000/=milioni Sita Katika Droo Ya Saa 11 . Tatu Mzuka Inabadilisha Maisha Yako Kamp No 555111 Tupigie Simu. No, 0765669354.
Hao jamaa hapo juu yaani +255 745 995 827 (Megi Simtengu) na +255 768 146 006 (Silon Adam) wakishirikiana na +255 765 669 354 (Safia Hamisi) walijaribu kunitapeli kwa nyakati mbili tofauti kama SMS zinavyojionyesha hapo juu...
Mara ya kwanza (24 Feb 2019) niliamua kukaa kimya ili kuwapotezea lakini wakaamua kurudia tena Jana (26 Feb 2019) na nikaona ni heri niwaweke wazi hapa JF ili members wawe makini na wahuni hawa....
Polisi na TCRA Nina imani mmo humu jamvini tafadhalini wafatilieni wahuni na wezi hawa wa mtandao. Kwangu wamenoa lakini inawezekana wengine wakaingizwa mkenge na watu hawa....
Domhome,
27 Feb 2019
Sent using Jamii Forums mobile app
24 Feb 2019 SAA 2305
+255 745 995 827 alituma SMS hii:
Tatu Mzuka (JACKPOT) Hongera Umeshinda TSh.6,000,000/=milioni Sita Katika Droo Ya Saa 11 . Tatu Mzuka Inabadilisha Maisha Yako Kamp No 555111 Tupigie Simu. No, 0768146006.
26 Feb 2019 SAA 2158
+255 768 146 006 alituma SMS hii:
Tatu Mzuka (JACKPOT) Hongera Umeshinda TSh.6,000,000/=milioni Sita Katika Droo Ya Saa 11 . Tatu Mzuka Inabadilisha Maisha Yako Kamp No 555111 Tupigie Simu. No, 0765669354.
Hao jamaa hapo juu yaani +255 745 995 827 (Megi Simtengu) na +255 768 146 006 (Silon Adam) wakishirikiana na +255 765 669 354 (Safia Hamisi) walijaribu kunitapeli kwa nyakati mbili tofauti kama SMS zinavyojionyesha hapo juu...
Mara ya kwanza (24 Feb 2019) niliamua kukaa kimya ili kuwapotezea lakini wakaamua kurudia tena Jana (26 Feb 2019) na nikaona ni heri niwaweke wazi hapa JF ili members wawe makini na wahuni hawa....
Polisi na TCRA Nina imani mmo humu jamvini tafadhalini wafatilieni wahuni na wezi hawa wa mtandao. Kwangu wamenoa lakini inawezekana wengine wakaingizwa mkenge na watu hawa....
Domhome,
27 Feb 2019
Sent using Jamii Forums mobile app