UTAPELI WA FOREX: Francisco Magnetics adaiwa kuhama nchi, anadaiwa pesa nyingi. Polisi wamsaka!

Singida ndio home

JF-Expert Member
Feb 23, 2012
3,192
3,353
magnenga.png

tweet.png

tweet2.png


Ni kijana ambae hapo nyuma amepata kufanikiwa kwa haraka sana na kuishi maisha ya juu sana na kukiri kuwa na uwezo wa kutengengeneza takribani milioni 9 kila wiki, Ilifikia kipindi akanunua gari ya kifahari aina ya BMW X6, sijui kama ilikuwa ni bahati mbaya au maksudi kimaslahi hio gari ilikula mzinga wiki kama sio miezi michache kabla hajaondoka nchini ikiambatanishwa na "tetesi" ya kwamba kuna aina za bima endapo gari ikipata ajali shirika la bima humlipa mmiliki pesa taslim ya kununua gari upya.

Kijana kwa sasa hayupo nchini na inadaiwa anatafutwa na polisi kwa kile kinachosadikiwa ya kwamba kakimbia na pesa anazodaiwa na wawekezaji wake waliowekeza pesa zao kwake ili wapate faida kwa kuziongeza kupitia skills za forex alizonazo kijana. Kuna "tetesi" ya kwamba wawekezaji walioowekeza wanamdai kiasi cha dola laki tatu (takribani milioni 690 za kitanzania).

HITIMISHO
Walengwa wanaomdai huyu kijana inawezekana wakadhani kwamba kijana kakimbia na pesa zaokumbe sivyo , Kijana kaahidi ya kupitia account yake ya twiiter kwamba atarudisha pesa zao, walengwa itapendeza wawe wavumilivu wakiwa na uhakika wa kurejeshewa pesa zao.

NJE YA MAADA
Awali majuzi tarehe 7 - 5 -2019 huko nchini afrika kusini mfanya biashara wa forex aliekuwa na pesa chafu ambae pia wawekezaji walikuwa wakiwekeza pesa kwake kwa jina la "jabulani cashflow ngcobo" amefungwa kifungo cha miaka sita na kulipa faini ndefu baada ya kupatikana na kesi ya kutapeli wawekezaji

CHIMBUKO LA FOREX TANZANIA
Miaka ya 2017 kuna kijana anaefahamika kwa jina la "Ontario a.k.a Sir jeff dennis" ndie aliekuwa chanzo cha watanzania wengi kuanza kuisoma, kuifatilia na kuifanya forex, alileta muamko mkubwa sana wa forex nchini ikafika kipindi habari ya mujini ilikuwa ni forex na hata post yake ilivunja rekodi ya ushawishi mkubwa kwenye mtandao wa jamiiforums kwa kuwa na wasomaji wengi. Baada ya miezi michache kijana huyu alianzishiwa maada / thread kibao humu ndani zilizomshtumu kwamba ni mpigaji aliekuwa analazimisha wanafunzi wake watrade kwa kumtumia broker waliekuwa wanagawana faida
 
Duh aisee pole kwa kijana mwenzetu ila mbona km kwa maelezo yake hapo juu anadai atawalipa haki zao hao wanaomdai .hata hivyo samahani mkuu point yako ni ipi kwa hili andiko uliloandika sorry km hujapenda nilichoandika
 
Ni vyema km ungeweka hitimisho kutokana na maelezo yako
magnenga.png

tweet.png

tweet2.png


Ni kijana ambae hapo nyuma amepata kufanikiwa kwa haraka sana na kuishi maisha ya juu sana na kukiri kuwa na uwezo wa kutengengeneza takribani milioni 9 kila wiki, Ilifikia kipindi akanunua gari ya kifahari aina ya BMW X6, sijui kama ilikuwa ni bahati mbaya au maksudi kimaslahi hio gari ilikula mzinga wiki kama sio miezi michache kabla hajaondoka nchini ikiambatanishwa na "tetesi" ya kwamba kuna aina za bima endapo gari ikipata ajali shirika la bima humlipa mmiliki pesa ya kununua gari upya.

Kijana kwa sasa hayupo nchini na inadaiwa anatafutwa na polisi kwa kile kinachosadikiwa ya kwamba kakimbia na pesa za wawekezaji waliowekeza pesa zao kwake ili wapte faida kwa kuziwekeza kwenye forex. Kuna "tetesi" ya kwamba wawekezaji walioowekeza wanamdai kiasi cha dola laki tatu (takribani milioni 690 za kitanzania).

Awali jana tarehe 10 - 5 -2019 huko nchini afrika kusini mfanya biashara wa forex aliekuwa na pesa chafu ambae pia wawekezaji walikuwa wakiwekeza pesa kwake kwa jina la "cashflow ngcobo" amefungwa kifungo cha miaka sita na kulipa faini ndefu baada ya kupatikana na kesi ya kutapeli wawekezaji,
 
Kuna watu kitu kimoja wanashindwa kuelewa....

Forex ni sort of gambling hence its unpredictable na haina uhakika (hapa hakuna long term guarantee ya kutengeneza pesa husasan kwa day trader wa kawaida upo against institutions, banks n.k. zenye automatic softwares ambazo zipo already programmed to act in any way possible in micro seconds kwenye any signal...)

Selling information Books na Systems is guaranteed money haina risks wengi so called winners wana vitabu na systems wanazouza kwahio ni easy money in the Bank... na ili kuvutia watu unakuta wana-lifestlye kubwa (its recruiting business)

Gambling with other peoples money is win win.., no risk (nina uhakika jamaa angekuwa mjanja hata angesema kuna 99% chance of winning kwa bahati mbaya akiliwa huwezi kumshika) atasema hio ni one percent has happened...., na kama aliguarantee winnings hapo ndio mwanzo wa Utapeli.....

Kwa kuondoka nawaacha na hii extract...

How Hedge Funds makes their Money....

Hedge fund makes money by charging a Management Fee and a Performance Fee. While these fees differ by fund, they typically run 2% and 20% of assets under management.

Management Fees: This fee is calculated as a percentage of assets under management. Typically this equates to 2% but can range from 1% to 4% depending on the fund. These fees are generally paid monthly or quarterly and help pay overhead and daily expenses of running the hedge fund.

Performance Fees: This fee is calculated as a percentage of the funds profits. This is an incentive fee: if the fund makes money they will get paid, if not they won’t. This incentive fee motives the fund to generate excess returns. These fees are generally used to pay employee bonuses and reward a hard working staff.

A high water mark helps to protect investors in a scenario where the fund starts to lose money. This is a loss carry foward provision that will only be revered if the fund makes back those losses. Assuming a Hedge Fund is $100 million charges standard 2/20% fees and generates 10% annual returns, how much money will the fund make? The fund would return $4 million in annual fees: Management fee of $2 million plus a $2 million Performance fee ($100mn x 10% x 20%).

Easy Money with no Risk..., (Yaani Risk yote ni ya Mwenye pesa)
 
jamaa nilisikia alishashitakiwa mara kibao tu ila sijajua ziliishia vipi
Nilimsoma sana habari zake, lakini sikumuelewa ... Lifestyle yake , halafu sikuona anapata hizo hela zote... Nikamua kukaa mbali. Niliposikia Tanzania, forex forex, nikajua mchezo, umehamishiwa bongo kwa style nyingine.. Hakuna hela rahisi, yeyote anayekuambia utapata hela kwa njia nyepesi, anataka kukupiga..

Angalizo benki , investment house wanafanya sana biashara ya forex, ambayo imejengwa kwenye msingi wa speculation... Lakini wale wanatumia hela ya benki na wana mfumo wa kuwawezesha kutrade dunia nzima.. Hawa wa kwetu, ni watu wa fursa tu.
 
Nilimsoma sana habari zake, lakini sikumuelewa ... Lifestyle yake , halafu sikuona anapata hizo hela zote... Nikamua kukaa mbali. Niliposikia Tanzania, forex forex, nikajua mchezo, umehamishiwa bongo kwa style nyingine.. Hakuna hela rahisi, yeyote anayekuambia utapata hela kwa njia nyepesi, anataka kukupiga..

Angalizo benki , investment house wanafanya sana biashara ya forex, ambayo imejengwa kwenye msingi wa speculation... Lakini wale wanatumia hela ya benki na wana mfumo wa kuwawezesha kutrade dunia nzima.. Hawa wa kwetu, ni watu wa fursa tu.
yap!
wajinga ndio waliwao siku zote
 
Duh aisee pole kwa kijana mwenzetu ila mbona km kwa maelezo yake hapo juu anadai atawalipa haki zao hao wanaomdai .hata hivyo samahani mkuu point yako ni ipi kwa hili andiko uliloandika sorry km hujapenda nilichoandika
Huwa hazilipiki hela kama hizo za Forex..mi nimekuwa mpole kitambo sasa baada ya kupigwa na mkenya na msouth Andile
 
Kuna watu kitu kimoja wanashindwa kuelewa....

Forex ni sort of gambling hence its unpredictable na haina uhakika (hapa hakuna long term guarantee ya kutengeneza pesa husasan kwa day trader wa kawaida upo against institutions, banks n.k. zenye automatic softwares ambazo zipo already programmed to act in any way possible in micro seconds kwenye any signal...)

Selling information Books na Systems is guaranteed money haina risks wengi so called winners wana vitabu na systems wanazouza kwahio ni easy money in the Bank... na ili kuvutia watu unakuta wana-lifestlye kubwa (its recruiting business)

Gambling with other peoples money is win win.., no risk (nina uhakika jamaa angekuwa mjanja hata angesema kuna 99% chance of winning kwa bahati mbaya akiliwa huwezi kumshika) atasema hio ni one percent has happened...., na kama aliguarantee winnings hapo ndio mwanzo wa Utapeli.....


Kwa kuondoka nawaacha na hii extract...


How Hedge Funds makes their Money....

Hedge fund makes money by charging a Management Fee and a Performance Fee. While these fees differ by fund, they typically run 2% and 20% of assets under management.

Management Fees: This fee is calculated as a percentage of assets under management. Typically this equates to 2% but can range from 1% to 4% depending on the fund. These fees are generally paid monthly or quarterly and help pay overhead and daily expenses of running the hedge fund.

Performance Fees: This fee is calculated as a percentage of the funds profits. This is an incentive fee: if the fund makes money they will get paid, if not they won’t. This incentive fee motives the fund to generate excess returns. These fees are generally used to pay employee bonuses and reward a hard working staff.

A high water mark helps to protect investors in a scenario where the fund starts to lose money. This is a loss carry foward provision that will only be revered if the fund makes back those losses. Assuming a Hedge Fund is $100 million charges standard 2/20% fees and generates 10% annual returns, how much money will the fund make? The fund would return $4 million in annual fees: Management fee of $2 million plus a $2 million Performance fee ($100mn x 10% x 20%).

Easy Money with no Risk..., (Yaani Risk yote ni ya Mwenye pesa)
Forex inategemea ufundi wa speculation .. Baada ya kuangalia performance ya masoko, bidhaa mbalimbali na mahitaji ya forex yatatokana na maeneo gani ya masoko.. Wale watalaam kwa kutumia hunching technique, purerly Instinctively anaweka hela , kama vile kamari kwenye forex pairs fulani... Akifanikiwa speculator huyo wa forex anapata commission kubwa kutoka kwa mwajiri wake au kwa kampuni yake ..
 
Back
Top Bottom