Lord OSAGYEFO
JF-Expert Member
- Feb 19, 2021
- 3,086
- 4,881
Yaani nikimkumbuka Babu wa Loliondo alivyowanywesha mizizi na majani ya pori viongozi wetu mawaziri wabunge wakuu wa mikoa wilaya na wafanyabiashara naishiwa nguvu kabisa.
Hakika ulikuwa ni utapeli wa kiwango cha uchumi wa kati
Alichofanya Babu wa loliondo ndicho hicho CCM inatufanyia Watanzania. Sasa ni miaka 60 bado nchi inahangaika na madawati na matundu ya vyoo. Kodi za ajabu ajabu, eti tozo
Inanunua mandege yanayoitia hasara nchi
CCM inaogopa katiba mpya inawabambikizia kesi wanaoidai aibu kwa chama kikongwe kuogopa Katiba Mpya
Hakika ulikuwa ni utapeli wa kiwango cha uchumi wa kati
Alichofanya Babu wa loliondo ndicho hicho CCM inatufanyia Watanzania. Sasa ni miaka 60 bado nchi inahangaika na madawati na matundu ya vyoo. Kodi za ajabu ajabu, eti tozo
Inanunua mandege yanayoitia hasara nchi
CCM inaogopa katiba mpya inawabambikizia kesi wanaoidai aibu kwa chama kikongwe kuogopa Katiba Mpya