Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 50,921
- 22,070
Wapendwa katika bwana
natumaini msoma po hili mungu amewaa nguvu yakuona siku ya leo
hawa tfda nahisi wanaendelea kuitia aibu serikali na sijui nani anawalinda kwa hili
jana nikiwa duka moja wameingia wakakuta maziwa ya sma ayaja exp yako safi kabisa
katika tafuta tafuta yao nini cha kukamata waombe hela wakakosa wakaingia kwenye
line ya maziwa ya sma
wakaanza kuyaangalia gafla wakanza kuyaangalia wee gafla wakaamuru kuyatoa
kuuliza kisa eti ayana maneno ya kiswahili....kwenye kopo..huu ni upuuzi na ujinga kama sio upumbavu
hivi bidhaa ngapi ziko dukani zina maneno ya kiingereza tupu na watu wanakula
iweje leo hiiawa wajinga wanadai ati wanataka yenye maneno ya kiswahili
anyway
nahisi njaa zimewazaidi kwa kweli
natumaini msoma po hili mungu amewaa nguvu yakuona siku ya leo
hawa tfda nahisi wanaendelea kuitia aibu serikali na sijui nani anawalinda kwa hili
jana nikiwa duka moja wameingia wakakuta maziwa ya sma ayaja exp yako safi kabisa
katika tafuta tafuta yao nini cha kukamata waombe hela wakakosa wakaingia kwenye
line ya maziwa ya sma
wakaanza kuyaangalia gafla wakanza kuyaangalia wee gafla wakaamuru kuyatoa
kuuliza kisa eti ayana maneno ya kiswahili....kwenye kopo..huu ni upuuzi na ujinga kama sio upumbavu
hivi bidhaa ngapi ziko dukani zina maneno ya kiingereza tupu na watu wanakula
iweje leo hiiawa wajinga wanadai ati wanataka yenye maneno ya kiswahili
anyway
nahisi njaa zimewazaidi kwa kweli