Tomaa Mireni
JF-Expert Member
- Sep 8, 2015
- 2,328
- 2,283
- Thread starter
- #41
Sina uhakika kweli sababu nimefanya miamala mingi sikumbuki wa 5000 ni huyo au wa 50k ni huyo,unahudumia wateja zaidi ya 100 kwa siku utakumbuka wote? Na kiasi walichowekaMbona unaonesha wewe wakala hauna uhakika! Unapoamua kithibisha toka Airtel ni kwamba hauna uhakika na kazi yako, ulichokifanya usithubutu kumuuliza mtu mwingine kama ulikifanya unajifunga, kataa.
Sent using Jamii Forums mobile app