Jaalut
Member
- Jan 18, 2020
- 72
- 244
Picha linaanza pale mitaa ya instagram, mdada anakutana na bloo ana picha kali kichizi kwenye insta yake, picha zinaonesha kwamba jamaa yuko ulaya alafu anakula bata kichizi yani kwa kutazama picha jamaa sio mtu wa njaa kabisa.
Bloo anazama DM kwa mdada na baadae wanaanzisha urafiki, bloo anakuwa anampigia simu uyo demu na namba inaonesha ni ya nje ya nchi wakat uyo bloo yuko bongo
Bloo atamwambia mdada kwamba anataka kumtumia zawadi, mara nyingi inakuwa simu kali tena mpya kabisa simu yenyewe ni iphone tena ile ya bei juu yani kitu orijino
Ilikusibitisha kwamba hatanii basi bloo atamtumia picha Yule demu , picha za mazawadi anayotaka kumtumia.
Kesho yake bloo atamtumia tena picha Yule mdada kwamba yuko DHL anamtumia simu yake na mazawadi mengine
Basi mzee baba baada ya hapo atamcheki tena Yule dada na kumwambia tayali keshamtumia zawadi zake na asubili simu toka watu wa DHL watampa maelekezo ya kufanya
Kesho yake mida ya asubuhi mdada atapigiwa simu na mtu atakaye jitambulisha kama mfanyakazi wa DHL
Atamwambia kwamba mzigo wake umefika lakini haujalipiwa ushuru, watamtajia kiasi cha pesa ambacho inabidi alipe ili kesho akachukue mzigo wake
Bloo akija kuumbiwa kwamba mzigo wanasema haujalipiwa ushuru atamwambia kwamba yeye alishindwa kulipia sababu kadi yake ya benki inazingua , si unajua tena ulaya sistimu zake ni malipo kwa kadi au atampa sababu yoyote tu ilimladi aingie king
Mara nying demu atakuwa anajistukia kumwambia jamaa kama mzigo haujalipiwa kodi sababu jamaa katoa pesa kibao ili amtumie yeye zawad kwaiyo inabidi tu nay eye ajiongeze ili apate zawadi zake
Wale jamaa wa DHL feki watamwambia inabidi alipie ule mzigo kupitia namba ya simu, watampa namba ya simu na akishalipia tu basi apo ndo imekula kwake, yani anakuwa kapigwa changA kwa tamaA zake
inakuwa ngumu kustuka kwa sababu zifuatazo
- bloo anakuwa anatumia namba ya nje ya nchi, yani apa anakuwa amenunua namba ya nchi ya ulaya kwenye mtandao na anaitumia kutapeli
- wabongo wengi hatujawai tumia DHL kwaiyo inakuwa rahisi kupigwa changa
kama mdada anakuwa mtu wa tamaa na kupenda vitu vya bure basi lazima anase katika mtego huu
-wabongo bado tunazile fikra kwamba mtu akiishi ulaya basi anakuwa na pesa ndefu
kuweni makini wapwa...mjini shule
By profesa from twitter...
Bloo anazama DM kwa mdada na baadae wanaanzisha urafiki, bloo anakuwa anampigia simu uyo demu na namba inaonesha ni ya nje ya nchi wakat uyo bloo yuko bongo
Bloo atamwambia mdada kwamba anataka kumtumia zawadi, mara nyingi inakuwa simu kali tena mpya kabisa simu yenyewe ni iphone tena ile ya bei juu yani kitu orijino
Ilikusibitisha kwamba hatanii basi bloo atamtumia picha Yule demu , picha za mazawadi anayotaka kumtumia.
Kesho yake bloo atamtumia tena picha Yule mdada kwamba yuko DHL anamtumia simu yake na mazawadi mengine
Basi mzee baba baada ya hapo atamcheki tena Yule dada na kumwambia tayali keshamtumia zawadi zake na asubili simu toka watu wa DHL watampa maelekezo ya kufanya
Kesho yake mida ya asubuhi mdada atapigiwa simu na mtu atakaye jitambulisha kama mfanyakazi wa DHL
Atamwambia kwamba mzigo wake umefika lakini haujalipiwa ushuru, watamtajia kiasi cha pesa ambacho inabidi alipe ili kesho akachukue mzigo wake
Bloo akija kuumbiwa kwamba mzigo wanasema haujalipiwa ushuru atamwambia kwamba yeye alishindwa kulipia sababu kadi yake ya benki inazingua , si unajua tena ulaya sistimu zake ni malipo kwa kadi au atampa sababu yoyote tu ilimladi aingie king
Mara nying demu atakuwa anajistukia kumwambia jamaa kama mzigo haujalipiwa kodi sababu jamaa katoa pesa kibao ili amtumie yeye zawad kwaiyo inabidi tu nay eye ajiongeze ili apate zawadi zake
Wale jamaa wa DHL feki watamwambia inabidi alipie ule mzigo kupitia namba ya simu, watampa namba ya simu na akishalipia tu basi apo ndo imekula kwake, yani anakuwa kapigwa changA kwa tamaA zake
inakuwa ngumu kustuka kwa sababu zifuatazo
- bloo anakuwa anatumia namba ya nje ya nchi, yani apa anakuwa amenunua namba ya nchi ya ulaya kwenye mtandao na anaitumia kutapeli
- wabongo wengi hatujawai tumia DHL kwaiyo inakuwa rahisi kupigwa changa
kama mdada anakuwa mtu wa tamaa na kupenda vitu vya bure basi lazima anase katika mtego huu
-wabongo bado tunazile fikra kwamba mtu akiishi ulaya basi anakuwa na pesa ndefu
kuweni makini wapwa...mjini shule
By profesa from twitter...