Kichuguu
Platinum Member
- Oct 11, 2006
- 15,496
- 19,332
Ni watanzania hao tusijaribu kupanda mbegu za ubaguzi; ni kama ambavyo wangoni asili yao ni ni wazulu wa Afrika ya Kusini lakini wangoni ni wa Tanzania. Kuna makabila mengi sana Tanzania ambayo yanaweza kutrace asili zao nje ya nchi; kwa mfano wapemba wengie asili yao ni Oman, wazaramo wengi na wamanyema asili yao ni Kongo. lakini wote ni watanzania.Wajaluo wa Rorya, asili yao Kisumu Western Kenya