Utapeli kwenye mitandao

Kumbila medi

Member
May 31, 2017
99
69
Hivi hawa jamaa wanaofanya wizi mitandaoni huwa wameadvance kiasi gani!?
Maana hawa watu wana uwezo wa kufoward meseji hewa kwa wakala na kufanikiwa kumuibia wakala pesa.

Tena wakati mwingine wakishakufowardia ukijaribu kuingia kwenye menyu kuuliza salio inakujibu INVALID.

Naomba kujua ni mbinu ipi wanaitumia kufanya UDANGANYIFU huo kwa mawakala?
Nawasilisha kwenu wataalam wa mitandao mnisaidie please...!
 
Hivi hawa jamaa wanaofanya wizi mitandaoni huwa wameadvance kiasi gani!?
Maana hawa watu wana uwezo wa kufoward meseji hewa kwa wakala na kufanikiwa kumuibia wakala pesa. Tena wakati mwingine wakishakufowardia ukijaribu kuingia kwenye menyu kuuliza salio inakujibu INVALID.
Naomba kujua ni mbinu ipi wanaitumia kufanya UDANGANYIFU huo kwa mawakala?
Nawasilisha kwenu wataalam wa mitandao mnisaidie please...!
wana jf kwa anayefaham atoe msaada
 
Hivi hawa jamaa wanaofanya wizi mitandaoni huwa wameadvance kiasi gani!?
Maana hawa watu wana uwezo wa kufoward meseji hewa kwa wakala na kufanikiwa kumuibia wakala pesa. Tena wakati mwingine wakishakufowardia ukijaribu kuingia kwenye menyu kuuliza salio inakujibu INVALID.
Naomba kujua ni mbinu ipi wanaitumia kufanya UDANGANYIFU huo kwa mawakala?
Nawasilisha kwenu wataalam wa mitandao mnisaidie please...!
Unataka kujua kwa nia ipi, nia njema au ovu? Maana isije ikawa ni darasa la kufundisha watu kufanya uovu wa kimtandao!...
 
Back
Top Bottom