Jovanny hm
Member
- Jun 5, 2019
- 31
- 25
- Thread starter
- #21
Usipokuwa makini unapewa Risiti feki,Ndio umuhimu wa risiti
Usipokuwa makini unapewa Risiti feki,Ndio umuhimu wa risiti
Nakwambiaa.. we acha tu.Duh, noma sana, walinzi wa mali zetu (polisi) ndo wanageuka wezi wa mali zetu..
Thread kama hii ilishaletwa humuHawajanipiga mimi ila roommate wangu wamemuumiza
Kumbe hii michezo ipo zamani tu, mimi nilijua ndio utapeli wa sasa hivi kushirikisha Askari wetuOMBAA WASIKUTANE NA WEWE UTATAJIWA HELAAMBAYO IMETOLEWA KWENYE SIMU HATA MWENYESIMU AKUWAHI KUSHIKA MPAKA AFE
sikuwahi iona, kumbe wengi yameshawakuta kama hayaThread kama hii ilishaletwa humu
Receipt ni jambo la muhimu sana, ila rafiki yangu walimpa risiti feki zile za kuandika kwa mkono na yeye akaamini..Waambie hao wanunuzi waache ujinga wanaponunua kitu dukani wadai risiti tena ya TRA no receipt no business....
risiti ndio shahidi wako mkuu kwenye issue kama hizo
Waambie hao wanunuzi waache ujinga wanaponunua kitu dukani wadai risiti tena ya TRA no receipt no business. Risiti ndio shahidi wako mkuu kwenye issue kama hizo
WALE FB WOTE UNAOONA WANAUZA SIMU WENGGNE WAMEJITENGENEZEA NA MAGRP WANAJIITA NUNUA NA KUUZA MWNGINE UZA FASTA WEWEE USINUNUE SIMU KULE UTAZAAA MAPACHA UTATAMAN KWANN COVID ILIKUACHAAisee hii style hata hapa Dar ipo, kuna mtu amelipishwa 1 M kwa njia hiyo hiyo.
Yeye ulinunua simu Kariakoo akaacha Box dukani. Baada ya miezi 6 hivi naye akapigiwa simu aende Polisi kituo kipo maeneo ya Makumbusho. Eti kuna mtu kuibiwa vitu na moja wapo ni simu. Kwenda Polisi anakuta lile box aliloliacha dukani, akajieleza lakini wapi. Risiti tayari ilishafutika maandishi ikala kwake..
Kweli kabisa tena iwe TAKUKURU, kituo cha polisi anaweza asipate msaada.Nadhani ikiwa mtoa post ana evidence zisizo tia shaka kuhusiana na post yake inayoelezea utapeli.
Ni vema awasilishe Jeshi la polisi au takukuru au usalama wa taifa kwa uchunguzi zaidi.
Ikiwa maelezo alietoa post yatakuwa na evidence toshelezi post hii itashughulikiwa kikamilifu
Ili kupeleka case kama hii kituoni inabidi kuwe na concrete evidences, labda huko TAKUKURU kidogo nasikiaga wanaweza wakaweka mitego yao.Nadhani ikiwa mtoa post ana evidence zisizo tia shaka kuhusiana na post yake inayoelezea utapeli.
Ni vema awasilishe Jeshi la polisi au takukuru au usalama wa taifa kwa uchunguzi zaidi.
Ikiwa maelezo alietoa post yatakuwa na evidence toshelezi post hii itashughulikiwa kikamilifu
OMG!Aisee hii style hata hapa Dar ipo, kuna mtu amelipishwa 1 M kwa njia hiyo hiyo.
Yeye ulinunua simu Kariakoo akaacha Box dukani. Baada ya miezi 6 hivi naye akapigiwa simu aende Polisi kituo kipo maeneo ya Makumbusho. Eti kuna mtu kuibiwa vitu na moja wapo ni simu. Kwenda Polisi anakuta lile box aliloliacha dukani, akajieleza lakini wapi. Risiti tayari ilishafutika maandishi ikala kwake..