Crucifix
JF-Expert Member
- Feb 20, 2011
- 1,651
- 588
UTAPELI KATIKA UNUNUZI WA MASHINE ZA KUTOA RISITI MAARUFU KAMA EFD
TRA Tanzania Revenue Authority - TRA wameteua mawakala 10 (walau ndiyo orodha niliyopewa) na mimi nimetembelea mawakala watatu na wote hawana mashine mkononi.
Kinachofanyika; wateja wanalipa 590,000/= kisha mnasubirishwa kwa majuma mawili au matatu. Kwa maneno mengine, tunanunulishwa mashine kwa mtaji wetu wenyewe!
TRA Tanzania Revenue Authority - TRA wameteua mawakala 10 (walau ndiyo orodha niliyopewa) na mimi nimetembelea mawakala watatu na wote hawana mashine mkononi.
Kinachofanyika; wateja wanalipa 590,000/= kisha mnasubirishwa kwa majuma mawili au matatu. Kwa maneno mengine, tunanunulishwa mashine kwa mtaji wetu wenyewe!