nandengele
JF-Expert Member
- Dec 28, 2015
- 689
- 799
Mammal? L illumination
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena inatakiwa wapewe ulinzi maalumKha Huyu Kipaji Maalumu
Alituma shilingi ngapi mkuuWilfred Massawe Amtapeli waziri wa Ulinzi.
Wilfred Massawe alitafuta namba ya waziri wa Ulinzi na kumpigia simu na kujitambulisha yeye ni Daniel Chongolo katibu mkuu wa CCM..
Waziri husika hajataja bado ila soon zitajulikanaAlituma shilingi ngapi mkuu
MchagaWilfred Massawe ni nani...
🤣🤣🤣 Inatakiwa jamaa ajengewe sanamu lake.Huo ujasiri Sasa ningekuwa mwigulu ningeagiza miamala ya jamaa isikatwe kodi mpka hapo itakapotolewa maelekezo mengine
Hapana mkuu mchaga huyo si unajua wiki ya Wachaga hiidah mwamba ni jasiri kweli kweli. Atakua mtu wa chato huyu
wiki yao hii wanatamba tu na matukio.Hapana mkuu mchaga huyo si unajua wiki ya Wachaga hii
Umakini wa Waziri yapaswa uchunguzwe.Wilfred Massawe Amtapeli waziri wa Ulinzi.
Wilfred Massawe alitafuta namba ya waziri wa Ulinzi na kumpigia simu na kujitambulisha yeye ni Daniel Chongolo katibu mkuu wa CCM
Kweli hapo nae inapaswa achunguzwe asilete za kuletwaUmakini wa Waziri yapaswa uchunguzwe.
Itakuwaje waziri wa serikali mtu kuwa tu katibu wa CCM hata siku hamjaogea(hamjuani) anakuomba pesa bila kuchunguza mtu unaemtumia pesa jina lake ni la katibu Chongolo, wewe unazituma na zakutolea, hapo walakin upo!
Kweli kabisa ameona kupambana na tatizo la ajira kabla ya Story of Change - Serikali inavyoweza kupambana na Ukosefu wa Ajirawiki yao hii wanatamba tu na matukio.