Si ustaarabu ku-quote uzi mrefu hivi.Naomba na mimi uwe unanitag mkuu The Bold
Sitaki ugomviSi ustaarabu ku-quote uzi mrefu hivi.
Hapo ndo uwezo wako wa kufikiria umekomeaUmebakiza nguvu ya kukatia gogo tu!!
Hahaha aiseeeUmebakiza nguvu ya kukatia gogo tu!!
Me nilijua anapolomosha mawe kumbe anaomba tagSi ustaarabu ku-quote uzi mrefu hivi.
kwa nn walitarget ndege za MalaysiaNdio maana nilikuwa naona kama kuna kitu kimemiss huku jf Leo ndio nimegundua alikuwa THE BOLD himself. Asante sana mkuu nasubiria sehemu inayofuata
Pole kwa kuumia...jikaze maumivu yataisha tu.Hukuwa na haja ya ku-quote uzi wote just to say awe anakutag!! Sijui kwa nini umefanya ulivyofanya, inasikitisha.
Weee nawe...acha unaa...mbeleni utakuja kuwa mchawiMe nilijua anapolomsha mawe kumbe anaomba tag
Kijambio kinakuwasha siyo bure.Naomba na mimi uwe unanitag mkuu The Bold
mkuu naona povu linakutokaWeee nawe...acha unaa...mbeleni utakuja kuwa mchawi
Naomba na mimi uwe unanitag mkuu The Bold
The bold watu kama hawa hamna haja ya kuwatag, tushapiga kelele watu waache kuquote nyuzi ndefu bado mbulula wengine hawaelewi...Naomba na mimi uwe unanitag mkuu The Bold
Sitaki tukoseane heshima unasikia...ohooooo. Be warnedKijambio kinakuwasha siyo bure.
ndo mjifunze kutumia kompyuta sasa. ila nimekuelewa na nina kusamehe kwa sababu unatumia simuHukuwa na ulazima wa kuquote uzi wote. Siku nyingine andika kawaida tu ataona. Unawachosha wanaotumia Simu.