X-PASTER
JF-Expert Member
- Feb 12, 2007
- 11,610
- 1,810
Kuna wakati mmoja alisafiri Mjapani, Mtanzania bara na Mzanzibari kwenye boti ndogo, mara boti yao ikaanza kuingia maji na kuzama, ilibidi watafute njia ya kujiokoa, kama[FONT=Bookman Old Style] kawaida mjapani alianza kwa kutupa vitu vyake binafsi [/FONT]kama CD player, hi-fi, radio,PC nk... ili kupunguza uzito, Mtanzania bara na Mzanzibari walimwangalia kwa mshangao sana na ku toamini.
Mjapani akawaambia 'Msijali bado tunavyo vyingi sana nchini kwetu hivi vitu '.
Boti ilikuwa bado inaendelea kuzidi kuzama. Mtanzania bara bila ya kusita na yeye akaanza kutupa vitu vyake kama vile vinyago, vitenge nk... Akawaambia wenzake 'Msijali bado vipo vyingi sana nyumbani'.
Boti bado ilikuwa inazama. Mjapani na Mtanzania bara wakawa wanamwangalia Mzanzibari atafanya nini?! Mzanzibari akaziangalia mbata na karafuu zake na bila ya kusita na ya wasiwasi wowote alimsukuma Mtanzania bara baharini.
Maskini [FONT=Bookman Old Sty le] Mtanzania bara alikuwa hajui kukoga akazama. Mjapani alishtuka [/FONT]sana. Mzanzibari akamwambia ' Usijali wako wengi sana hawa kwetu Zanzibar,Mpaka Pemba siku hizi wanaonekana.
Mjapani akawaambia 'Msijali bado tunavyo vyingi sana nchini kwetu hivi vitu '.
Boti ilikuwa bado inaendelea kuzidi kuzama. Mtanzania bara bila ya kusita na yeye akaanza kutupa vitu vyake kama vile vinyago, vitenge nk... Akawaambia wenzake 'Msijali bado vipo vyingi sana nyumbani'.
Boti bado ilikuwa inazama. Mjapani na Mtanzania bara wakawa wanamwangalia Mzanzibari atafanya nini?! Mzanzibari akaziangalia mbata na karafuu zake na bila ya kusita na ya wasiwasi wowote alimsukuma Mtanzania bara baharini.
Maskini [FONT=Bookman Old Sty le] Mtanzania bara alikuwa hajui kukoga akazama. Mjapani alishtuka [/FONT]sana. Mzanzibari akamwambia ' Usijali wako wengi sana hawa kwetu Zanzibar,Mpaka Pemba siku hizi wanaonekana.