GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,544
- 108,863
Mkiambiwa Ustaarabu anauweza Simba SC tu muwe mnaamini. Wachezaji wa Yanga SC leo wamepanda tu Ndege wameshuka na Mali za Ndege na sasa nasikia baadhi yao wanapekuliwa hivyo Vitu. Mpaka sasa Mchezaji Molinga amekutwa na Keki kadhaa katika Begi lake huku Kocha wao Zahera amekutwa na Headphones za hiyo Kampuni ya Ndege husika.
Hivi kwanini Yanga SC mnatuaibisha hivi Sisi Watanzania? Ni lini mmesikia Simba SC hasa Wachezaji wake ambao wameshazoea hadi Kuchoka Kupanda Ndege wakiiba hovyo Vitu vilivyomo ndani ya Ndege? Sijui mpoje yaani nyie nyie ni Masikini na nyie nyie tena ni Wezi ndani ya Ndege.
Halafu kwa Uwizi huu wa Wachezaji wenu ndani ya Ndege leo ndiyo mnataka Simba SC tuwaungeni mkono na tuwashangilieni?
Hivi kwanini Yanga SC mnatuaibisha hivi Sisi Watanzania? Ni lini mmesikia Simba SC hasa Wachezaji wake ambao wameshazoea hadi Kuchoka Kupanda Ndege wakiiba hovyo Vitu vilivyomo ndani ya Ndege? Sijui mpoje yaani nyie nyie ni Masikini na nyie nyie tena ni Wezi ndani ya Ndege.
Halafu kwa Uwizi huu wa Wachezaji wenu ndani ya Ndege leo ndiyo mnataka Simba SC tuwaungeni mkono na tuwashangilieni?