Ulisema lakini unazipenda Ila unaogopa kumwambia mleta mada akuombeeDah! hizo buti sasa
Hahahahha hizo nimemuachia ndugu yangu kibaUlisema lakini unazipenda Ila unaogopa kumwambia mleta mada akuombee
Hapo tigonyeupe atatoa jibuNa sikia wapare ni wabaili sana kushinda wachaga hivi ni kweli?
Location moja🤣Wakuuu baada ya mishe mishe tukiwa tumejipoza Jf tujaribu kutaniana kidogo.
Utani Unaweza kua wa;
Mtu na mtu, kabila, kanda, dini, Rangi, Kimo na hata elimu.
Ila kuchukia haitakiwi.
View attachment 1703228
So kabila lako kwel hiloHatari wametoka kipindi cha valentine's day
Hahaha mwaziba mbele tu ee😄🤣🤣🤣 sisi kabila letu la kipori sana hatuvai mivao hiyo