Nijapopita katika bonde la uvuli wa mauti, sitaogopa mabaya, maana wewe upo! Shida ni kwamba watu hawajui hatari zinazowakabili at any time wapitapo popote! Yamkini wewe wajiona salama, lakini kwa macho ya kiroho umezungukwa na wadudu wabaya kuliko mbwa rafiki!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.