Wana JF, Kuna tetesi kuwa CCM wana mpango usiofaa wa kuchakachua idadi ya kura katika majimbo ya Kawe na Ubungo na wanachelewesha kutangaza matokeo ili wapate akili ya namna ya kufanya ubadhirifu kwa mara nyingine. Kama kuna mwana JF amesikia confirmed news kuhusu Ubungo na Kawe plzzzzzzzzzz atuarifu. Nasikia Tundu Lisu naye ameshinda, kuna mwenye habari za uhakika..?? Vp Arumeru...??