Rutashubanyuma
JF-Expert Member
- Sep 24, 2010
- 219,470
- 911,173
NEC imetangaza majimbo tisa na mwelekeo ni kujaribu kuonyesha JK atashinda ushindi wa kishindo kutokana na uchaguzi wa majimbo wanayoyatangaza.katika ya majimbo tisa waliyoyatangaza Dr. SLaa kashinda jimbo la Bukoba mjini kwa ushindi mdogo sana huku akifuatiliwa kwa karibu na JK........La kushangaza ni JK kumbwaga Dr. Slaa katika jimbo la Babati mjini.....binafsi ninaona kuna ugumu wa kuyakubali hayo matokeo...........Prof. Lipumba ametesa kwenye majimbo manne huko Pemba.
Lakini matoeko haya ni maeneo ambayo hayana wapigakura wengi yaani JK kashinda njombe ya Kusini yenye wapigakura karibu 27,000 na alipata kura 22, 337 wakati Dr. Slaa 6, 848...........JK alipata Babati Mjini JK 12, 696 na Dr. Slaa 7,583.........Mtwara Mjini JK 18, 087 na Dr. Slaa 4, 415.........Bukoba Mjini JK.......15,410 na Dr. Sla zaidi ya elfu 16.......Singida Mjini........Jk............19,246...................Dr. Slaa 5,266
Lakini matoeko haya ni maeneo ambayo hayana wapigakura wengi yaani JK kashinda njombe ya Kusini yenye wapigakura karibu 27,000 na alipata kura 22, 337 wakati Dr. Slaa 6, 848...........JK alipata Babati Mjini JK 12, 696 na Dr. Slaa 7,583.........Mtwara Mjini JK 18, 087 na Dr. Slaa 4, 415.........Bukoba Mjini JK.......15,410 na Dr. Sla zaidi ya elfu 16.......Singida Mjini........Jk............19,246...................Dr. Slaa 5,266