bihashara matangazo mkuu jamaa labda anauza tgo na kununua mbnye samtyme
1. Kwanini utumie jina la kike?
2. Kwanini uweke avatar ya Kike?
mmh!!!! kaka ZUBEDA?
na nyie fatilien hl
Isue si kuoga.isue si fungus,isue si uzoefu.huko kote tumepita na hakuna shida ya ugonjwa kbs.Mpaka naandika hapa najua nini nachoandika.Usitumie ugeni wako kwenye fani kutushawishi wakongwe ambao tunakaribia kuwa na wajukuu. Kafundishe chekechea wa mapenzi nakushauri umwambie huyo dada awe anaoga kwani ana matatizo ya fungus. Na kama unafanya mapenzi ya wizi hujaoa nakushauri utafute mke uoe ili uji prove mwenyewe wrong.
puani au masikion
kama ni reseach basi haijatimia kwani umemutumia Demu wako tu kama kigezo, i want to prove you wrong!
kwanza kabisa namna ya vagina wetting hutofautiana kutoka mwanamke mmoja mpaka mwingine. kwa mfano kuna mwanamke hata mchezeane vipi ana wet kidogo sana! mwingine anawet sana mpaka analowanisha ile underwear yake kama atakuwa kaivaa bado, hata ukimshika tu pale juu unaweza guess hilo, lakini pia kuna anaye wet sana lakini baada tu ya mambo anakauka na yawezekana kwa awamu ya pili ya shughuli ikalazimika kupata extra lubricant, wengine ni mwanzo mwisho, na namna nyingine nyingi tu.
sasa hii ya kwako pia ni namna moja wapo kuna ute mzito na mwepesi, mmoja wapo ni kama uliousema unakuja na ukoko ukoko mwingine unakuja tu kama kamasi au sperm za kiume,hivyo huyo demu wako yupo kwenye hili group la ukoko ukoko! lazima atazitoa tu kila mnapokutana mara chache huweza kutoa laini kama kamasi lakini si kuwa hajafanya tendo hilo.
uchunguzi wako si guaranteed 100% angalia asije kujua mawazo yako atakuibia kinona....SIUNGI MKONO HOJA
kama ni reseach basi haijatimia kwani umemutumia Demu wako tu kama kigezo, i want to prove you wrong!
kwanza kabisa namna ya vagina wetting hutofautiana kutoka mwanamke mmoja mpaka mwingine. kwa mfano kuna mwanamke hata mchezeane vipi ana wet kidogo sana! mwingine anawet sana mpaka analowanisha ile underwear yake kama atakuwa kaivaa bado, hata ukimshika tu pale juu unaweza guess hilo, lakini pia kuna anaye wet sana lakini baada tu ya mambo anakauka na yawezekana kwa awamu ya pili ya shughuli ikalazimika kupata extra lubricant, wengine ni mwanzo mwisho, na namna nyingine nyingi tu.
sasa hii ya kwako pia ni namna moja wapo kuna ute mzito na mwepesi, mmoja wapo ni kama uliousema unakuja na ukoko ukoko mwingine unakuja tu kama kamasi au sperm za kiume,hivyo huyo demu wako yupo kwenye hili group la ukoko ukoko! lazima atazitoa tu kila mnapokutana mara chache huweza kutoa laini kama kamasi lakini si kuwa hajafanya tendo hilo.
uchunguzi wako si guaranteed 100% angalia asije kujua mawazo yako atakuibia kinona....SIUNGI MKONO HOJA
bihashara matangazo mkuu jamaa labda anauza tgo na kununua mbnye samtyme
Nyani haoni kundulenikuite dada, au kaka.and that is very childish of you using the identity which is not urs to disgues other, i though this forum is full of right minded people who thinks critically..
umri wako tafadhali?Huo utando unakuwa wapi???
huo ni uchafu mwambie awe anajisafi vizuri huko kunako. usitake kutudaganya hapa sasa nyie wanaume tutawagundua vipi kama hamcheetUchafu huo na mifangus mwambie atumie dawa unakwisha kabisa na kama ni uchafu awatafute makungwi wamuelekeze jinsi ya kujiswafi...
Kumbe ulishapata demu thru love connect.
Jina na avatar vinaendana lakini vinapingana na madai yako kuwa wewe ni mwanaume....otherwise una matatizo...
1. Kwanini utumie jina la kike?
2. Kwanini uweke avatar ya Kike?
Ukinipa majibu ya kuridhisha nitarejea hapa kuchangia hoja yako.