Utando Mweupe Wakati wa Kujamiiana....(Ishara ya Uaminifu ndani ya mahusiano)

Si lazima iwe ni alama ya uaminifu. Vipi kama anapendelea kutoa 'mtandao' zaidi? Siku hizi mambo yamebadilika sana ndugu!
 
Usitumie ugeni wako kwenye fani kutushawishi wakongwe ambao tunakaribia kuwa na wajukuu. Kafundishe chekechea wa mapenzi nakushauri umwambie huyo dada awe anaoga kwani ana matatizo ya fungus. Na kama unafanya mapenzi ya wizi hujaoa nakushauri utafute mke uoe ili uji prove mwenyewe wrong.
Isue si kuoga.isue si fungus,isue si uzoefu.huko kote tumepita na hakuna shida ya ugonjwa kbs.Mpaka naandika hapa najua nini nachoandika.
 
kama ni reseach basi haijatimia kwani umemutumia Demu wako tu kama kigezo, i want to prove you wrong!
kwanza kabisa namna ya vagina wetting hutofautiana kutoka mwanamke mmoja mpaka mwingine. kwa mfano kuna mwanamke hata mchezeane vipi ana wet kidogo sana! mwingine anawet sana mpaka analowanisha ile underwear yake kama atakuwa kaivaa bado, hata ukimshika tu pale juu unaweza guess hilo, lakini pia kuna anaye wet sana lakini baada tu ya mambo anakauka na yawezekana kwa awamu ya pili ya shughuli ikalazimika kupata extra lubricant, wengine ni mwanzo mwisho, na namna nyingine nyingi tu.

sasa hii ya kwako pia ni namna moja wapo kuna ute mzito na mwepesi, mmoja wapo ni kama uliousema unakuja na ukoko ukoko mwingine unakuja tu kama kamasi au sperm za kiume,hivyo huyo demu wako yupo kwenye hili group la ukoko ukoko! lazima atazitoa tu kila mnapokutana mara chache huweza kutoa laini kama kamasi lakini si kuwa hajafanya tendo hilo.

uchunguzi wako si guaranteed 100% angalia asije kujua mawazo yako atakuibia kinona....SIUNGI MKONO HOJA

Tatizo na wewe hujatuambia source ya haya ni nini?? Personal experience?? Umesoma kitabu gani? Web site....Lol.
 
nikuite dada, au kaka.and that is very childish of you using the identity which is not urs to disgues other, i though this forum is full of right minded people who thinks critically..
 
kama ni reseach basi haijatimia kwani umemutumia Demu wako tu kama kigezo, i want to prove you wrong!
kwanza kabisa namna ya vagina wetting hutofautiana kutoka mwanamke mmoja mpaka mwingine. kwa mfano kuna mwanamke hata mchezeane vipi ana wet kidogo sana! mwingine anawet sana mpaka analowanisha ile underwear yake kama atakuwa kaivaa bado, hata ukimshika tu pale juu unaweza guess hilo, lakini pia kuna anaye wet sana lakini baada tu ya mambo anakauka na yawezekana kwa awamu ya pili ya shughuli ikalazimika kupata extra lubricant, wengine ni mwanzo mwisho, na namna nyingine nyingi tu.

sasa hii ya kwako pia ni namna moja wapo kuna ute mzito na mwepesi, mmoja wapo ni kama uliousema unakuja na ukoko ukoko mwingine unakuja tu kama kamasi au sperm za kiume,hivyo huyo demu wako yupo kwenye hili group la ukoko ukoko! lazima atazitoa tu kila mnapokutana mara chache huweza kutoa laini kama kamasi lakini si kuwa hajafanya tendo hilo.

uchunguzi wako si guaranteed 100% angalia asije kujua mawazo yako atakuibia kinona....SIUNGI MKONO HOJA

Kijana umeeleza vizuri sana lakini nachosema mimi hayo magroup yote huwa hvyo vitu havionekani kama mna du kila siku,kwan kama mna sex daily vagina huwa safi sana na huo ukoko huwa hauji ila kama mkikaa hata one week vagina hudhalisha hzo material,alafu hii cjaiona kwa msichana 1,ni wengi.
Nakubali kuwa maumbile ya kike yapo na sura moja bt utabia wake ndo upo tofauti.
Kama unabisha mwache mkeo one week then Tumia chumba utaona nini kinatokea.
 
bihashara matangazo mkuu jamaa labda anauza tgo na kununua mbnye samtyme

Kwani anaejiita njiwa yeye ndege.
Kwani anaejiita kongosho yeye ni kongosho
Kwan we ni default kweli.
Hakuna anaenipangia kwa hilo...changia mada then Sepa.
Wote humu mna ID za uongo na Picha za Uongo.we kwangu Ndo unaona pa kuuliza na mapovu juu.
 
Wanawake wanatoka na ute kutokana na kipindi na kipindi . Ukiona anatoka ute laini mwepesi ujue ni siku yai linapotoka. Then ukiona ute mzito ujue unatoka kabla ya yai na baada ya yai kutoka. Then after that inakuja dry season no ute...so usije sema gf kacheat.

Ila pia kuna ute wa ugonjwa kama unatoka na harufu mbaya au unarangi tofauti
 
Uchafu huo na mifangus mwambie atumie dawa unakwisha kabisa na kama ni uchafu awatafute makungwi wamuelekeze jinsi ya kujiswafi...

Kumbe ulishapata demu thru love connect.
huo ni uchafu mwambie awe anajisafi vizuri huko kunako. usitake kutudaganya hapa sasa nyie wanaume tutawagundua vipi kama hamcheet
 
Kujiswafi kwake kunahu sana hapa.
mnapo du kila siku inaamanisha mwanamme anatumika kama kitendea kazi cha usafi, so uchafu unaisha
Anapokaa muda mrefu ucchafu una-accumulate tena hadi mwanamme akamsafishe.
Kama smell ni tofauti na mbatata 'be eyes'
 
Jina na avatar vinaendana lakini vinapingana na madai yako kuwa wewe ni mwanaume....otherwise una matatizo...
1. Kwanini utumie jina la kike?
2. Kwanini uweke avatar ya Kike?

Ukinipa majibu ya kuridhisha nitarejea hapa kuchangia hoja yako.

Igwe_like this.....
 
Back
Top Bottom