Utandawazi (Globalization): Adui hatari wa Afrika asiyesemwa kwa undani madhara yake

Hujui chochote, unachojua ni matusi tu. Kenya, South Africa na wapi sijui Ghana unakozungumzia wewe, unajua pia hali ya ushoga na usagaji iliyopo kwenye nchi hizo kama sharti la mabeberu na magays wenzako ili wapatiwe assistance kwenye maendeleo yao. Unaongea tu hovyohovyo na.kuhara kama bata hivi!!

Unatumia ubongo kufikiri au your head is way up into your stinking ass eating poopoo?

Eti Africa na Tanzania hakuna sodomy na usagaji,umeweka camera kwenye nyumba za wananchi wote wa Tanzania milioni 60 una monitor 24/7 hakuna sodomy na usagaji?

Usagaji na ushoga upo Tanzania sema takwimu sahihi hatuna na watu hawaongei

Kwenye population yeyote ya wanadamu 5% yake ni lazima wawe abnormal sexually,hiyo ni Biology.

Sema huku kwetu ni kwavile hakuna sensa na watu wanajificha ila wanafanya mitaa huko wapo

Unapojenga hoja tumia akili

Hoja yako ni ya uongo kutudanganya hapa eti TZ na Africa hakuna usagaji ni ulaya upo na ndio wameuleta wakati historia ya mwanadamu sodomy ina date ancient times
 
Haya ni mawazo ya ujamaa.
Ubeberu, ukoloni mambo leo,hizi dhana zilitoka kwenye ukomunisti enzi za vita baridi injia wa hizi philosophy ni chuo cha patrick lumumba Urusi kwa ajili ya kutengeneza propaganda za chuki dhidi ya wazungu enzi za vita baridi.
Ni mantiki zisizo hai kwa kizazi cha sasa.
Ni falsafa zilizokufa
 
Wajinga kama nyinyi ni waumini wa chama kimoja... demokrasia, tume huru ya uchaguzi na katiba mpya mnaona ni tatizo la utandawazi!
 
Back
Top Bottom