englibertm
JF-Expert Member
- May 1, 2009
- 9,252
- 6,207
Mkuu labda utanisaidia:-
Mkuu labda utanisaidia:-
MaShaAllah Mungu ampe afya na amkuze..... suali naomba munijuze huo mkanda/uzi mweusi mguu wa kushoto na ringi ya chuma mguu wa kulia ni nini? nitafurahi atakae nielimisha!!
Ahsante Mkuu, ooh ni urembo mzuri, asante tena.ni urembo tu wa kiimani ..... kama vila mmasai akimtoboa mtoto masikio/mmakonde akimtoboa mtoto lips utauliza ni kwa nini?