TAJIRI MKUU WA MATAJIRI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2010
- 5,708
- 10,201
Ameokoka nini>
anasali kanisa la mapepo wachafuanasali kanisa gani huyu na mimi nihamie?
Mabinti waliookoka hawavai hereni, mikufi, pete, na bangili.
Mabinti waliookoka hawajirembi kwa rangi za mdomo, rangi za uso, kucha wala rangi za macho.
Babinti waliookoka 'hawakaangi' nywele zao, wala hawasuki nywele wala hawajipambi kwa nguo za thamani kubwa.
Biblia inasema hivi katika 01 Timotheo 02:09-10:-
" 09: Vivyo hivyo wanawake na wajipambe kwa mavazi ya kujisitiri, pamoja na adabu nzuri, na moyo wa kiasi; si kwa kusuka nywele, wala kwa dhahabu na lulu, wala kwa nguo za thamani;10: bali kwa matendo mema, kama iwapasavyo wanawake wanaoukiri uchaji wa Mungu".
I beg to differ hivyo vito vya thamani ndivyo vinapaswa haswa kutumika na wanawake lakini kwa sitara, yaani mwanamke ukisha jipamba basi wakuone wale walioruhusiwa kukuona kwa urembo wako mfano mumeo na si uonekane na kila tom dick and harry! N.B Kuna wasio suka wala kutia hivyo vikolombwezo lakini bado ukimuona ni mtihani. Stara sahihi kwa mwanamke = HIJAB!
Ukiona mtu anaokoka ujue ameishatenda madhambi yote duniani kiasi cha kutokuwa na matumaini ya kuishi zaidi ya kujificha nyuma ya ulokole.
Ameokoka nini>
Hawa ni brides, na bridesmaid wao bwana!