mmh jamani dunian watachomwa watu
jana nilikuwa nimeenda kumwacha b mkubwa sehemu ya kitchen party uko mbezi
wakati wa kumchukua wakawa bado kidogo ila ukumbi ulikuwa mzuri
wa vyoo na jamaa wamejipnga..sherehe ikiwa inaendele mc nikamwonaa amevaa
kimini balaa kama katumwa ,,mara akaomba wimbo wa rose mhando wa utamu wa YESU
nawatakia kila la kheri..mbarikiwe wote wanandoa watarajiwa hasa wa leo hii maana kumekucha barabarani gari zimepambwa
kama harusi ya sayuni
Mkuu si ungeipotezea tuu!Mijitu mingine bana......kazi kupotezea wnzao muda tuuuuu