UTAMU:Mkristo anatema mayai kama Yesu

jsenyinah

JF-Expert Member
Jan 25, 2012
249
338
Yaani,Mungu n mkubwa sana.Tena sana
 

Attachments

  • JAMAA ANA MANENO KAMA YESU.mp4
    5.7 MB · Views: 33
Yaani,Mungu n mkubwa sana.Tena sana
Mkuu acha hizo hao ni waigizaji tu wanaitwa Jambo na vijimambo wanavichekesho tu na wala si kama Yesu... video ya Yesu ilitolewa kwa Lugha ya Kiingeleza na ikatafsiliwa kwa lugha ya kiswahili so aliyeitafsiri ndio aliamua kutumia ancient hiyo so jamaa si Yesu... ni maigizo tu... wacha kufanananisha vitu halisi na maigizo.. na kuna thread kadhaa za hawa jamaa tumeshawajadili

 
Mkuu acha hizo hao ni waigizaji tu wanaitwa Jambo na vijimambo wanavichekesho tu na wala si kama Yesu... video ya Yesu ilitolewa kwa Lugha ya Kiingeleza na ikatafsiliwa kwa lugha ya kiswahili so aliyeitafsiri ndio aliamua kutumia ancient hiyo so jamaa si Yesu... ni maigizo tu... wacha kufanananisha vitu halisi na maigizo.. na kuna thread kadhaa za hawa jamaa tumeshawajadili




Naamini hakuna aliye record voice ya yesu katika miaka hiyo. Iwe Mzungu ama Mswahili wote ni sawa tu ni usanii.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom