Mkuu acha hizo hao ni waigizaji tu wanaitwa Jambo na vijimambo wanavichekesho tu na wala si kama Yesu... video ya Yesu ilitolewa kwa Lugha ya Kiingeleza na ikatafsiliwa kwa lugha ya kiswahili so aliyeitafsiri ndio aliamua kutumia ancient hiyo so jamaa si Yesu... ni maigizo tu... wacha kufanananisha vitu halisi na maigizo.. na kuna thread kadhaa za hawa jamaa tumeshawajadiliYaani,Mungu n mkubwa sana.Tena sana
Yaani,Mungu n mkubwa sana.Tena sana
Mkuu acha hizo hao ni waigizaji tu wanaitwa Jambo na vijimambo wanavichekesho tu na wala si kama Yesu... video ya Yesu ilitolewa kwa Lugha ya Kiingeleza na ikatafsiliwa kwa lugha ya kiswahili so aliyeitafsiri ndio aliamua kutumia ancient hiyo so jamaa si Yesu... ni maigizo tu... wacha kufanananisha vitu halisi na maigizo.. na kuna thread kadhaa za hawa jamaa tumeshawajadili
una matatizo makubwa sanaYaani,Mungu n mkubwa sana.Tena sana