Nitajulikana
JF-Expert Member
- Sep 20, 2017
- 328
- 355
Ndugu zangu,kwanza nawasalimia nyote nikiwa na matumaini yangu kwamba mu wazima wa afya.
Nimekuja na mada hii nikiomba msaada kwenu.Mimi sijaoa na nimekuwa nikitafta mwanamke wa kuoa kwa mda mrefu.
Nashindwa kuiita bahati nzuri au mbaya kwani kila mwanamke ambaye nimekuwa nikiweka malengo naye nimekuwa nikikuta ni mwanachuo tena chuo kikuu.
Nimeisha kutana na wanawake watatu na nimeshindwa kudumu nao kwani siwaamini wanawake wanachuo katika kupenda,kulinda,kutunza kuvumilia mapenzi na hasa (long distance love)
Kilichonisukuma kuomba elimu na ushauri huu ni miezi miwili iliyopita nilikutana na binti.Kama kawaida tulianzisha urafiki na urafiki huu ulidumu bila kila mtu kumwambia mwenzake anajishughulisha na mini.
Jana jioni ndio tukaamua kufungukiana kuhusu maisha yetu ya kila siku na shughuli zetu.Katika hali isiyokuwa ya kawaida yule binti akaniambia ni Mwanachuo mwaka wa pili!! Nilistuka sana na nikaona km akili yangu inaendelea kuvurugwa.
Sasa ndugu zangu naomba elimu na ushauri kwa hili nifanyeje? Niendelee kuwa nae? Ananipenda kweli? Hataniharibia feature yangu njiani?!!.
Msaada wenu jaman mwenzenu hili jambo linanisumbua sana maana hii too much!!!!
Nimekuja na mada hii nikiomba msaada kwenu.Mimi sijaoa na nimekuwa nikitafta mwanamke wa kuoa kwa mda mrefu.
Nashindwa kuiita bahati nzuri au mbaya kwani kila mwanamke ambaye nimekuwa nikiweka malengo naye nimekuwa nikikuta ni mwanachuo tena chuo kikuu.
Nimeisha kutana na wanawake watatu na nimeshindwa kudumu nao kwani siwaamini wanawake wanachuo katika kupenda,kulinda,kutunza kuvumilia mapenzi na hasa (long distance love)
Kilichonisukuma kuomba elimu na ushauri huu ni miezi miwili iliyopita nilikutana na binti.Kama kawaida tulianzisha urafiki na urafiki huu ulidumu bila kila mtu kumwambia mwenzake anajishughulisha na mini.
Jana jioni ndio tukaamua kufungukiana kuhusu maisha yetu ya kila siku na shughuli zetu.Katika hali isiyokuwa ya kawaida yule binti akaniambia ni Mwanachuo mwaka wa pili!! Nilistuka sana na nikaona km akili yangu inaendelea kuvurugwa.
Sasa ndugu zangu naomba elimu na ushauri kwa hili nifanyeje? Niendelee kuwa nae? Ananipenda kweli? Hataniharibia feature yangu njiani?!!.
Msaada wenu jaman mwenzenu hili jambo linanisumbua sana maana hii too much!!!!