Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Mkuu,
Hivyo usijidanganye kwa vijihoja mfu hapa. Huyu anaependwa mitandaoni ndiye anakusanya mass kubwa sana tena watu wakija voluntarily bila kusombwa na mafuso! Na ndio chaguo la watanzania sasa hivi. Achana na huyu msanii anayeangushwa kila siku kwa mapepo kwa mujibu wa sheik Yahya.
Siku zote umeshindwa kusema ni kwanini huyo jamaa yako unamwita chaguo la watanzania kwa sasa!