Akili Unazo!
JF-Expert Member
- Feb 18, 2009
- 3,930
- 4,892
Wakuu kuna suala moja jana litutatiza wakati tunapata moja baridi moja moto huku mkuu wa meza akiwa sebuleni huku akisindikizwa na ndizi ya mzuzu iliyorotiwa.
Mjadala wenyewe unasema 'Utamsamehe nani kati ya wake wawili'
Mmoja alitaka kumuua mme wake mme akajitahidi kujiokoa na akashinda baadaye m'ke akamuomba msamaha na kusema kuwa ni shetani alikuwa ametuma.
Mwingine alikuwa mhuni wakutupa yaani alikuwa haambiliki wala hashiki naye akaja kuomba msamaha kuwa ni shetani wa ngono alikuwa amemzingira hivyo ameacha.
Ijumaa njema.
Mjadala wenyewe unasema 'Utamsamehe nani kati ya wake wawili'
Mmoja alitaka kumuua mme wake mme akajitahidi kujiokoa na akashinda baadaye m'ke akamuomba msamaha na kusema kuwa ni shetani alikuwa ametuma.
Mwingine alikuwa mhuni wakutupa yaani alikuwa haambiliki wala hashiki naye akaja kuomba msamaha kuwa ni shetani wa ngono alikuwa amemzingira hivyo ameacha.
Ijumaa njema.