Zipuwawa
JF-Expert Member
- Nov 28, 2010
- 3,053
- 653
Leo ilikuwa siku ya huzuni kwa kumuaga mwanamziki aliyekuwa kipenzi cha wengi hasa katika nyimbo zake zenye ujumbe mzito! hakika Mungu amlaze mahali pema peponi Amen!
je wewe kama Mpenzi wa mziki bila kujali umri wako unaweza kusema ni wimbo gani ambao ukiusikia utamkumbuka daima Remmy Ongala?
Katka nyombo zake ambazo mimi sitaweza kumsahau ni kama ule wa Kifo hakina huruma,Ndumila kuwili na nyingine nyingi.
Wewe je unaweza tupa ni wimbo gani na sababu za kupenda nyimbo hizo?
je wewe kama Mpenzi wa mziki bila kujali umri wako unaweza kusema ni wimbo gani ambao ukiusikia utamkumbuka daima Remmy Ongala?
Katka nyombo zake ambazo mimi sitaweza kumsahau ni kama ule wa Kifo hakina huruma,Ndumila kuwili na nyingine nyingi.
Wewe je unaweza tupa ni wimbo gani na sababu za kupenda nyimbo hizo?