Tila-lila2
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 653
- 1,058
Nimekuwa nikifuatilia sana namna viongozi wanavyotamka majina ya Viongozi wa juu yao: Mfano anapotamkwa Rais wa sasa:
- Makonda - Rais wetu mpendwa, Dokta John Pombe Joseph Magufuli
- Polepole - Rais na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mheshimiwa Dkt John Pombe Joseph Magufuli
- Dkt. Mpango - Rais wa wananchi, Dokta John Pombe Magufuli
- Prof Kabudi - Rais Mpendwa Daktari, Jooohn Pombe Joseeph Maghufuli
- Protabas Katambi - Rais wangu, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
- Membe - Rais wangu Pombe John Magufuli
- Rostam - Rais Ndugu Magufuli
- Lissu - Rais Magufuliii
- Musiba - Rais wa wananchi, mpendwa, kiboko ya mafisadi John Joseph Pombe Magufuli
- Lugola - Rais .......
- N.K
Hivi utamkaji wa hivi una impact kwa mtamkaji?
- Makonda - Rais wetu mpendwa, Dokta John Pombe Joseph Magufuli
- Polepole - Rais na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi Mheshimiwa Dkt John Pombe Joseph Magufuli
- Dkt. Mpango - Rais wa wananchi, Dokta John Pombe Magufuli
- Prof Kabudi - Rais Mpendwa Daktari, Jooohn Pombe Joseeph Maghufuli
- Protabas Katambi - Rais wangu, Dkt. John Pombe Joseph Magufuli
- Membe - Rais wangu Pombe John Magufuli
- Rostam - Rais Ndugu Magufuli
- Lissu - Rais Magufuliii
- Musiba - Rais wa wananchi, mpendwa, kiboko ya mafisadi John Joseph Pombe Magufuli
- Lugola - Rais .......
- N.K
Hivi utamkaji wa hivi una impact kwa mtamkaji?