habari zenu wana JF,
sijui ni ushamba...nimeshtukia hii site tu...nilikuwa natafuta site nyingine kabisa...laiti ningalijua mwanzoni.Niko Toronto Canada..ni katika wale waliochoka siasa za ujambazi za nchi na hatimaye kuamua kuhama.
namshukuru mungu walau ntapata kutoa dukuduku langu from time to time...na ninaahidi JF nitakuwa katika wanachama wanaochangia kwa hali na mali.
sijui ni ushamba...nimeshtukia hii site tu...nilikuwa natafuta site nyingine kabisa...laiti ningalijua mwanzoni.Niko Toronto Canada..ni katika wale waliochoka siasa za ujambazi za nchi na hatimaye kuamua kuhama.
namshukuru mungu walau ntapata kutoa dukuduku langu from time to time...na ninaahidi JF nitakuwa katika wanachama wanaochangia kwa hali na mali.