HRKAS 2008
Member
- Nov 17, 2012
- 6
- 1
Nina jamaa yangu ana mke na mtt mmoja,na mke wake ana wivu sana juu yake kiasi kwamba hataki kumuona jamaa amecmama na mwanamke kwan anadhan anaibiwa.Jamaa yangu ile hali inamkera na akaamua kutafuta kiburudisho nje,cha ajabu walipofika guest utambi unagoma kabisa na amejaribu mara kadhaa kwa wanawake tofauti bila mafanikio,lakin akirud home ngoma inawika kama kawa