Utamaduni wa watu wa Swaziland na posa ya Kifalme!!

Kila mwaka anachagua mmoja,msichana na wazazi hawana kauli mila yao inasema kauli ya Mfalme haipingwi.
 
Huyo wakulia kabisa kama vile keshachakachuliwa kifuani, soko kwake litakuwa gumu maana wenzie bidhaa kifuani bado hazijaegea.
 
Huyu wa upande wa kulia atakuwa bado hajachakachuliwa kweli?! maana naona pale kifuani kama wadau wameshabembea kidizain:banplease:
 
hata hapa tanzania haya mamyo yamekuwepo kwa baadhi ya makabila hadi majuzi tu na inawezekana wengine bado wanaendelea japo si sana. hebu ulizeni watu wa musoma (wakurya) kama wameishaacha ile traditional dance inayoexpose female adolescents' breasts (litungu)
 
daaah hivi mkwere kwa nini asianzishe hii kitu jamanii..maana shamba la bibi litafurika vimwana toka vikindu acha kabisaaa
 
attachment.php


kuna hicho kidogo katikati mmmh...jamani!
 
hata hapa tanzania haya mamyo yamekuwepo kwa baadhi ya makabila hadi majuzi tu na inawezekana wengine bado wanaendelea japo si sana. hebu ulizeni watu wa musoma (wakurya) kama wameishaacha ile traditional dance inayoexpose female adolescents' breasts (litungu)
Miss Judith,
Wewe ni wakukaya nini? ha ha ha
 
kali kuliko zote kuna baraza flani la wazee huku swazi.Jamaa (Mswati) akishapata mke wanaingia katika lile tendo zuri.kimila anapotenda mara ya kwanza lile tendo(kipara) linafanyika mbele ya wale wazee na katika kuhitimisha tendo,mfalme anamwamwagia wajerumani mmoja wa wale wazee kwenye mikono yake na huyo mzee anajisikia fahari sana
 
Tuache utani, kwa mwanamume yeyote rijali kama mimi anakubaliana na wewe mkuu..... king anafaidi kinoma!!! Cheki hicho cha kwanza kushoto kilivo na kiuno kizuri!!!

Presha inapanda, presha inashuka. Nipo hoi sijiwezi
 
Zama za ushenzi katika karne ya sayansi na teknolojia. Huu ni udharirishaji wa wanawake!!!!!!!!!! Wako wapi wale wanaojifanya watetezi wa haki za wanawake!!!!!! Kuwekwa uchi wanawake wenzenu kiasi hiki hamuoni kuwa ni unyanyasaji ila wakiambiwa wavae hijabu ndo mnakuja juu na kusema uislamu unamnyanyasa mwanamke. Enyi tamwa kama kweli mnawapenda wanawake wenzenu kemeeni hii tabia ya wao kudharirishwa.

wewe unapenda utamaduni wa kizungu, wa kwako unaona ushenzi pole sana
 
Back
Top Bottom