Utamaduni wa watu wa Swaziland na posa ya Kifalme!!

Kweli waafrika tuna safari ndefu.Duuuh! Hii ndio sayansi na teknolojia yetu.
 
Tamaduni zingine bwana kazi kweli kweli ila wamakonde walikuwaga na systeme ya kuwakimbiza wanawali na chupi tuu toka point moja kwenda ingine mpaka miaka ya 90 maeneo ya tmk
 
Zama za ushenzi katika karne ya sayansi na teknolojia. Huu ni udharirishaji wa wanawake!!!!!!!!!! Wako wapi wale wanaojifanya watetezi wa haki za wanawake!!!!!! Kuwekwa uchi wanawake wenzenu kiasi hiki hamuoni kuwa ni unyanyasaji ila wakiambiwa wavae hijabu ndo mnakuja juu na kusema uislamu unamnyanyasa mwanamke. Enyi tamwa kama kweli mnawapenda wanawake wenzenu kemeeni hii tabia ya wao kudharirishwa.

U r off point, Swaziiiiii ni jadi na mila yao, kama waislam kuvaa hijab ilivyo jadi yao, wao pia kuweka nje maumbile yao ni jadi yao,
ni mbaya kwako, kwao safiiiiii, kama vile tohara ilivyo kwa mila zingine ambayo sisi tunasema si nzuri, ujue pia hakuna TAMWA Swaziiiii, na King Mswati anaoa countless wifes akiamua
 
Zama za ushenzi katika karne ya sayansi na teknolojia. Huu ni udharirishaji wa wanawake!!!!!!!!!! Wako wapi wale wanaojifanya watetezi wa haki za wanawake!!!!!! Kuwekwa uchi wanawake wenzenu kiasi hiki hamuoni kuwa ni unyanyasaji ila wakiambiwa wavae hijabu ndo mnakuja juu na kusema uislamu unamnyanyasa mwanamke. Enyi tamwa kama kweli mnawapenda wanawake wenzenu kemeeni hii tabia ya wao kudharirishwa.


Mbona naona kama wamefurahi, nilishawahi kuwasikia wakisema bila kushiriki sherehe hizi za kimira hawajioni kama ni wanawake waliotimilika, tena wasomi wana midigirii yao.
 
Zama za ushenzi katika karne ya sayansi na teknolojia. Huu ni udharirishaji wa wanawake!!!!!!!!!! Wako wapi wale wanaojifanya watetezi wa haki za wanawake!!!!!! Kuwekwa uchi wanawake wenzenu kiasi hiki hamuoni kuwa ni unyanyasaji ila wakiambiwa wavae hijabu ndo mnakuja juu na kusema uislamu unamnyanyasa mwanamke. Enyi tamwa kama kweli mnawapenda wanawake wenzenu kemeeni hii tabia ya wao kudharirishwa.

Mkubwa awali first lady wetu Mama Salma Kikwete alihudhuria sherehe kama hizi. Wanaharakati walilianzisha huku baadaye wakazimwa!!! Ndo maama Jacob zuma na Mswati ni rafikiye Mswati wa Tanzania. Aibu hii kuwadhalilisha watoto wetu kiasi hiki. Hata kama ni mila na desturi hata hizi mbovu ni embraced?

 
attachment.php

Hivi huko Mswati kuna UKIMWI kweli? dah watoto wachungu kweli kweli
 
...angekuwepo Dada yako hapo sidhani kama ungethubutu kusema Anafaidi. Nasema katika Dunia ya sasa kuendeleza mila kama hizo ni UJINGA
 
Jamani Jamani Beijing...haya ndo mambo ya kuyapigia kelele kwenye haki za wanawake...
 
This is pure african beauty bila kuwekewa silikon, kweli mfalme Mswati anafaidi sana.

Tuache utani, kwa mwanamume yeyote rijali kama mimi anakubaliana na wewe mkuu..... king anafaidi kinoma!!! Cheki hicho cha kwanza kushoto kilivo na kiuno kizuri!!!
 
Maumbilie ya mwanamke yanakuwa na raha unavyoyatafuta huku ukiwaza what next. Sasa hapo kila kitu hadharani hakuna cha kufaidi, ndiyo maana Swazi ngoma iko juu.
 
Huyo wa 2 kulia waalahhhh ntakuwa nachelewa kazini. Kitu natural as God wanted ah wakubwa wanafaudu mbaya.
 
Back
Top Bottom