Zama za ushenzi katika karne ya sayansi na teknolojia. Huu ni udharirishaji wa wanawake!!!!!!!!!! Wako wapi wale wanaojifanya watetezi wa haki za wanawake!!!!!! Kuwekwa uchi wanawake wenzenu kiasi hiki hamuoni kuwa ni unyanyasaji ila wakiambiwa wavae hijabu ndo mnakuja juu na kusema uislamu unamnyanyasa mwanamke. Enyi tamwa kama kweli mnawapenda wanawake wenzenu kemeeni hii tabia ya wao kudharirishwa.
Zama za ushenzi katika karne ya sayansi na teknolojia. Huu ni udharirishaji wa wanawake!!!!!!!!!! Wako wapi wale wanaojifanya watetezi wa haki za wanawake!!!!!! Kuwekwa uchi wanawake wenzenu kiasi hiki hamuoni kuwa ni unyanyasaji ila wakiambiwa wavae hijabu ndo mnakuja juu na kusema uislamu unamnyanyasa mwanamke. Enyi tamwa kama kweli mnawapenda wanawake wenzenu kemeeni hii tabia ya wao kudharirishwa.
Zama za ushenzi katika karne ya sayansi na teknolojia. Huu ni udharirishaji wa wanawake!!!!!!!!!! Wako wapi wale wanaojifanya watetezi wa haki za wanawake!!!!!! Kuwekwa uchi wanawake wenzenu kiasi hiki hamuoni kuwa ni unyanyasaji ila wakiambiwa wavae hijabu ndo mnakuja juu na kusema uislamu unamnyanyasa mwanamke. Enyi tamwa kama kweli mnawapenda wanawake wenzenu kemeeni hii tabia ya wao kudharirishwa.
Ntoto wa kwanza kushoto si masikhara ati
Tuache utani, kwa mwanamume yeyote rijali kama mimi anakubaliana na wewe mkuu..... king anafaidi kinoma!!! Cheki hicho cha kwanza kushoto kilivo na kiuno kizuri!!!