Labda hujui hali halisi ya North Korea, rafiki yangu aliwahi kweda huko, aliona umasiki wa nchi hiyo. Nchi yoyote inayokataa kuwasiliana na nyingine iko nyuma sasa, utandawazi ni njia pekee.Iran and North korea:
Hakuna sababu ya kujipendekeza kwa capitalists countries, endeleza uchumi wake kwa kutumia watu wake na resources zake, misaada, aids, blah blah, kuombaomba NO.
kwa kweli Nigeria wale wavulana wao nikiwaangalia roho kwatuuu, nachagua Nigeria
.......kwa kweli Nigeria wale wavulana wao nikiwaangalia roho kwatuuu, nachagua Nigeria
........Preta bana umeona handsome boy wa nigeria tu, Desmond elliot.....hahahah au?
Utamaduni wa kimarekani, uhuru zaidi na kuwa na kuvaa utakavyo.
kwa kweli Nigeria wale wavulana wao nikiwaangalia roho kwatuuu, nachagua Nigeria
Preta wale wananigeria ni mataperi sana wale
harafu hao mahendsome boy kabla ya kucheza move wanaingia kwanza saloon kupiga mapowder mafacial nk nk kuna mmoja tu huwa yuko natural kabisa nikimuona nafurahia movie zaidi
kuna kaka alisema akipewa na haka ka dada ka Nigeria ni kavu kavu
mapowder sijui
ila kusema kweli FL1 majamaa yametulia yani kinachomatter hapo zaidi ni ma-body yu noo wor ai miiin
si ndio kuna Emeka Ike, Chidi, Jimmy Ike, Ramsey na wengine wengi hapo lazima ukiwa unadumisha mila uongee kila kitu (things women say when....)