Utamaduni wa Kusagana kwa Wanawake: Namna ulivyopenyezwa/Kuenea Afrika na sababu kadhaa za kuenea kwake Tanzania

Hizo zote porojo. Usenge (ushoga) na usagaji chanzo chake kikuu ni majumba (makazi) yanayofuga wanaume peke yao na wasiruhusiwe kuoa na yanayofuga wanawake peke yao wasiruhusiwe kuolewa (usagaji).

Si unajuwa wapi yanapatikana hayo majumba?

Ataesema hayafahamu hayo majumba atakuwa ni punguani wa hali ya juu.
Haya majumba yapo mengi sana maeneo ya Mombasa na Zanzibar.
 
Tweets zilifutwa ili watu wapimwe kama amber rutty kimya kimya tu wawe wanaambiwa kaa vzr kwny benchi wanajibu 'siwezi nimetoka kupimwa',teh
Inaonesha ishu ya Amber ilikuuma sana lol, kampe pole maana ameshatoka kifungoni.
Chezeya nguvu ya umma weyeee
 
Warumi 1

Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;
27 wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.
28 Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.
29 Wamejawa na udhalimu wa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda, na uuaji, na fitina, na hadaa; watu wa nia mbaya, wenye kusengenya,
30 wenye kusingizia, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenye kutunga mabaya, wasiowatii wazazi wao,
31 wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano, wasiopenda jamaa zao, wasio na rehema;
32 ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao.
We mbibi nilikuona Genius kumbe lofa hivi! Tangu lini biblia ikawa na mamlaka kwa wote hata wasioamini?

Next time ukuje ni citation zenye substance, vinginevyo nitazidi kukuvua vyeo!
 
Warumi 1

Hivyo Mungu aliwaacha wafuate tamaa zao za aibu, hata wanawake wakabadili matumizi ya asili kwa matumizi yasiyo ya asili;
27 wanaume nao vivyo hivyo waliyaacha matumizi ya mke, ya asili, wakawakiana tamaa, wanaume wakiyatenda yasiyopasa, wakapata nafsini mwao malipo ya upotevu wao yaliyo haki yao.
28 Na kama walivyokataa kuwa na Mungu katika fahamu zao, Mungu aliwaacha wafuate akili zao zisizofaa, wayafanye yasiyowapasa.
29 Wamejawa na udhalimu wa kila namna, uovu na tamaa na ubaya; wamejawa na husuda, na uuaji, na fitina, na hadaa; watu wa nia mbaya, wenye kusengenya,
30 wenye kusingizia, wenye kumchukia Mungu, wenye jeuri, wenye kutakabari, wenye majivuno, wenye kutunga mabaya, wasiowatii wazazi wao,
31 wasio na ufahamu, wenye kuvunja maagano, wasiopenda jamaa zao, wasio na rehema;
32 ambao wakijua sana hukumu ya haki ya Mungu, ya kwamba wayatendao hayo wamestahili mauti, wanatenda hayo, wala si hivyo tu, bali wanakubaliana nao wayatendao.

Aiseee nimesoma mara saba saba hakuna kifungu hata kimoja kilichonigusa,
Sisengenyi,
Simchukii Mungu,
Nawatii mnooo wazazi wangu,
Natenda mengi sana, sadaka natoa, nasaidia yatima, wajane na maskini,
Sina majivuno,
Sio dhalimu wala sina tamaa,
Sijawahi kuua.

kumbe mbinguni naenda kabisaaaa hureeeeeeeeeeeeeh.
 
Bodi ya Wasagaji Tanzania walitangaza mkutano mkuu wa mwaka. Malesbians kibao walijitokeza lakini walirudi nyumbani totally disheartened walipogundua ilikuwa mkutano wa wakoboa mahindi akina Azam!
 
Bodi ya Wasagaji Tanzania walitangaza mkutano mkuu wa mwaka. Malesbians kibao walijitokeza lakini walirudi nyumbani totally disheartened walipogundua ilikuwa mkutano wa wakoboa mahindi akina Azam!
 
39 Reactions
Reply
Back
Top Bottom