Themagufulianz
JF-Expert Member
- Apr 15, 2017
- 4,548
- 1,990
Deni la 82 ....magu??
ATCL kulikuwa na ufisadi mwingi miaka ya nyuma, nadhani unakumbuka kesi ya yule aliyekuwa bosi wa shirika hili, yule brother mwenye nyumba yake pale mbezi beach, enzi zile za matanuzi ya watoto wa Dar.Kulipwa lazima litalipwa, lakini aibu ya kutolipa madeni tayari tushavuliwa nguo!
Kama wewe ni mzalendo wa kweli kama mnavyojiita, unapaswa kulaani wote wanaosababishia taifa aibu kama hizi sio kuunga mkono hata ujinga!
Ni mjinga tu anayefurahia matatizo ya nchi, lakini aliyeyasababisha matatizo hayo ni mpumbavu.Vipi na wewe umefurahia Mali yetu kushikwa kama wenzako?
Ni mjinga tu anayefurahia matatizo ya nchi, lakini aliyeyasababisha matatizo hayo ni mpumbavu.
Huwezi ingia mkataba wa huduma halafu usilipie, na unaendelea business as usual.
Awamu hii maofisa hao wanyooshwe, irresponsibility and complacency has no place in business.
Thsts not the point mkuu..Hujipaki kinyesi ati mto uko karibu.Deni likilipwa hamtafungua uzi humu JF. Mtapita kimyakimya.
Mkuu hili ni deni la muda mrefu sana, mimi na wewe tukiwa watoto wadogo. Litalipwa kama yalivyolipwa madeni mengi tu.Thsts not the point mkuu..Hujipaki kinyesi ati mto uko karibu.
Heshima ya nchi inachezewa na wachache.
Hii comment yako inabidi waisome woote washajihishaji na wengine.Wafanyabiashara wa ndani wanaidai serikali mabilioni hawalipwi, watumishi madeni kibao ya stahiki zao kila siku wanaambiwa uhakiki wengine mpaka wanastaafu au kufa bila hata senti kulipwa.
Wapo watu wameambiwa wana vyeti/majina feki pamoja na kufukuzwa kazi, ile michango yao halali waliyo weka kwenye mifuko ya jamii wamedhulumiwa huku serikali inatabasamu kwa furaha kuwa imeokoa fedha. Dhuluma baada ya dhuluma ndio sifa ya serikali yetu.
Sasa raha ya kudhulumu wanaipeleka hadi nje ya nchi na huko ndio nao watawala watakiona cha moto kwa dhuluma zao.
Vilio vya wafanyakazi na wafanyabiashara wa ndani vitaitesa sana serikali hii hadi ifike mahali ianguke kwa kuondolewa kidemokrasia au kimabavu. Yametokea kwa wengine kwa nini yasitokee hapa?
Serikali ya Tz imezoea dhuluma na utapeli, bora wale wa nje huwa wanajiongeza kwa ku'confiscate assets mpaka walipwe au hupiga mkwara wa ku'confiscate lakini wale local huwa wengi wao hawalipwi na wanaolipwa hufanya kama ni deal yaani anaye authorize ulipwe lazima mkubaliane percentage ya commission yake ndipo utaona malipo yanaidhinishwa.Kuna maafisa wengi serikalini, wanafikiri unaweza kuingia mkataba kitaifa na kimataifa, ambspo unaweza pata huduma, na kulipia hiyi huduma ni kudra ya Mwenyezi Mungu.
People dont follow on contracts.
Wakisha piga picha na tsi zso mikataba inatupwa kwenye mashelf.
Tumeona makandarasi wasiolipwa.
Kulikuwepo Fredericci na Konoike.
Hawa nasikia wamelipwa baada ya almanudura kukamatavndege zetu.
Wazawa wa ndani wengine hadi wamekufa kwa mishtuko ya kuuziwa dhamana zao, wasijue watapata wapi haki zao.
Leo tunaona masuala ya kukamatwa ndege ya ATC.
Huu utamaduni wa hovyo, kimsingi ni utapeli at Govt level, na haukuanza awamu hii.
Tujisahihishe.
Leo unamkaribisha Rais wa nje kumwomba uwekezaji, huku nyuma mwekezaji toka nchi yake anakudai hadi mahakamani.
Message gani tunaitoa nje.
Hii ni fedheha na aibu kwa nchi.
Deni lilipwe tu, wapite kimya au la it won't change a shit.Deni likilipwa hamtafungua uzi humu JF. Mtapita kimyakimya.
Lakini si ni serikali hii hii ya ccm ?!. Serikali ni endelevu.Huyo Muzungu alidhurumiwa na Nyerere/Mwinyi kama sikosei kwa mujibu wa habari nilizosoma, sina uhakika lkn.
Mkuu usihalalishe udhaifu wako kihistoria, madhara yake ni wanao kuingia utumwani.Mkuu hili ni deni la muda mrefu sana, mimi na wewe tukiwa watoto wadogo. Litalipwa kama yalivyolipwa madeni mengi tu.
Unajua kuwa ile flyover ya ubungo ni deni litakalokuja kuanzishiwa uzi kama hili la huko Afrika ya Kusini?.
ATCL kulikuwa na ufisadi mwingi miaka ya nyuma, nadhani unakumbuka kesi ya yule aliyekuwa bosi wa shirika hili, yule brother mwenye nyumba yake pale mbezi beach, enzi zile za matanuzi ya watoto wa Dar.
JPM anapambana na madudu ya kila aina, mengineyo ndiyo hayo madeni ya miaka ya nyuma.
Halafu unatangaza hadharani kuwa wewe ni tajiri eti umesha kuwa dona kantriSasa wanaokudai unawaambia huna hela halafu unanunua madege kwa mkupuo tena Cash unafikiri hata wewe utafanyaje.
ATCL kulikuwa na ufisadi mwingi miaka ya nyuma, nadhani unakumbuka kesi ya yule aliyekuwa bosi wa shirika hili, yule brother mwenye nyumba yake pale mbezi beach, enzi zile za matanuzi ya watoto wa Dar.
JPM anapambana na madudu ya kila aina, mengineyo ndiyo hayo madeni ya miaka ya nyuma.
Bukilo siyo kwamba wasiyopendezwa na tabia za kudhulumu za serikali. Eti si wazalendo. No ni wazalendo.Mkuu hili ni deni la muda mrefu sana, mimi na wewe tukiwa watoto wadogo. Litalipwa kama yalivyolipwa madeni mengi tu.
Unajua kuwa ile flyover ya ubungo ni deni litakalokuja kuanzishiwa uzi kama hili la huko Afrika ya Kusini?.
Hili naunga mkono.Wale wanaotulete mateso haya wakamatwe na hata kama wamekufa wengine mali zilizobaki zifilisiwe na watu waende jela itakuwa fundisho kwa watu kufanya makosa yanayoitia hasara nchi au watu milioni 50 wakati mjinga mmoja familia yake inasoma USA na kuishi huko na wengine wakiishi humu wakitutambia na utajiri ambao baba zao wametia hasara taifa hili..Operation hii isiwe na macho ikamate kila aliyelihujumu taifa hili na kuwaghalimu masikini watanzania wanaokosa madawa na kupata huduma mbovu huku mijitu na familia zao ikiruka ughaibuni kwenye matibabu..
Mali yetu wakati mumeipora kama mlivyopora viwanja vya michezo?Vipi na wewe umefurahia Mali yetu kushikwa kama wenzako?
Ungekuwa wewe ni wa kwanza kudaiwa hapo ingekuwa sawa. Ningeweza kukuelewa.Mkuu usihalalishe udhaifu wako kihistoria, madhara yake ni wanao kuingia utumwani.
Na tofautisha madeni toka wafanyabiashara na yale ya mashirika ya kimataifa.
Yale madeni toka mashirika ya kimataifa ingalau yanazungumzika.
Yale ya wafanyabiashara/makandarasi unalipia puani.