Utalii Wa Ajabu!

Idimi

JF-Expert Member
Mar 18, 2007
14,963
10,457
Habari hii nimeinyaka jana, na nikawa naulizwa kama ni ya kweli. Sikuweza kukana wala kukubali, lakini ina ukweli fulani ndani yake, kwa sababu hii hata katika fukwe za Tanzania kama vile Zanzibar, Dar na Bwagamoyo ipo sana tu.
Soma,


OLDER WOMEN JOIN KENYA'S SEX TOURISTS
BETHAN, 56, lives in southern England on the same street as best friend Allie, 64.

They are on their first holiday to Kenya, a country they say is "just full of big young boys who like us older girls".

Hard figures are difficult to come by, but local people on the coast estimate that as many as one in five single women visiting from rich countries are in search of sex.

Allie and Bethan – who both declined to give their full names – said they planned to spend a whole month touring Kenya's palm-fringed beaches. They would do well to avoid the country's tourism officials.

"It's not evil," said Jake Grieves-Cook, chairman of the Kenya Tourist Board, when asked about the practice of older rich women travelling for sex with young Kenyan men.

"But it's certainly something we frown upon."

Also, the health risks are stark in a country with an AIDS prevalence of 6.9 per cent.

Although condom use can only be guessed at, Julia Davidson, an academic at Nottingham University who writes on sex tourism, said that in the course of her research she had met women who shunned condoms – finding them too "businesslike" for their exotic fantasies.

No sex, we're African

Grieves-Cook and many hotel managers say they are doing all they can to discourage the practice of older women picking up local boys, arguing it is far from the type of tourism they want to encourage in the east African nation.

"The head of a local hoteliers' association told me they have begun taking measures – like refusing guests who want to change from a single to a double room," Grieves-Cook said.

"It's about trying to make those guests feel as uncomfortable as possible ... But it's a fine line. We are 100 per cent against anything illegal, such as prostitution. But it's different with something like this – it's just unwholesome."

Preying on poor lovers

Emerging alongside this black market trade – and obvious in the bars and on the sand once the sun goes down – are thousands of elderly white women hoping for romantic, and legal, encounters with much younger Kenyan men.

They go dining at fine restaurants, then dancing, and back to expensive hotel rooms overlooking the coast.

"One type of sex tourist attracted the other," said one manager at a shorefront bar on Mombasa's Bamburi beach.

"Old white guys have always come for the younger girls and boys, preying on their poverty ... But these old women followed ... they never push the legal age limits, they seem happy just doing what is sneered at in their countries."

Experts say some thrive on the social status and financial power that comes from taking much poorer, younger lovers.

"This is what is sold to tourists by tourism companies – a kind of return to a colonial past, where white women are served, serviced, and pampered by black minions," said Nottinghan University's Davidson.

What's love got to do with it

Many of the visitors are on the lookout for men like Joseph.

Flashing a dazzling smile and built like an Olympic basketball star, the 22-year-old said he has slept with more than 100 white women, most of them 30 years his senior.

"When I go into the clubs, those are the only women I look for now," he told Reuters. "I get to live like the rich mzungus (white people) who come here from rich countries, staying in the best hotels and just having my fun."

At one club, a group of about 25 dancing men – most of them Joseph look-alikes – edge closer and closer to a crowd of more than a dozen white women, all in their autumn years.

"It's not love, obviously. I didn't come here looking for a husband," Bethan said over a pounding beat from the speakers.

"It's a social arrangement. I buy him a nice shirt and we go out for dinner. For as long as he stays with me he doesn't pay for anything, and I get what I want – a good time. How is that different from a man buying a young girl dinner?"

Najua kutakuwa na mawazo mchanganyiko katika hoja hii, lakini hebu tuijadili kwa undani, kwani vijana hao wa Mombasa ni sawa kabisa na wale wa pale Bwaganoyo ama Zanzibar wanaowachukua wazungu wazee, kwa hiyo madhara ama faida ni zile zile.
Vijana hawa waliotajwa hapo ni wadogo sana kiumri, yaani miaka chini ya thelathini, lakini vibibi wanavyochukua ni ajabu, miaka 56 na kuendelea. Pamoja na kwamba tunasema "Age Aint Nothing, but a Number" lakini tungalie madhara ya ngono hizi.
Hoja zangu mimi ni kwamba, kwanza, huenda hawa wazee wana magonjwa kutoka kwao, kwa hiyo huyaleta kwa hawa vijana kwa kuwapa pesa kibao za kujikimu, hivyo vijana hawa husahau kabisa suala la kuambukizwa. Nijuavyo, kutokana na uzoefu, sio wazungu wengi wanaopenda matumizi ya mipira ya kiume, kwa hiyo huenda vijana hawa wakaiga mkumbo huo kwa kwenda 'dry' na kuangamia vibaya (kumbuka hiyo story hapo juu, kijana anasema kalamba kama wazungu 100 hivi).
Pili, kuna hili suala la vijana kusaka "Makaratasi" ama viza, kwa maana ya pasi za kwenda majuu kwa kufanya mapenzi na hawa wazee, na baadaye kuwarubuni hawa wazee wawachukue na kwenda nao majuu kuwastarehesha, baadaye hawa vijana wanawatelekeza hawa wazee wakishafika huko, na kubakia wakiwa tayari wana makaratasi. Hii si haki. Hii nimeishuhudia, sihitaji kusimuliwa!
Tatu, kijana wa kiswahili aishachukua mzungu, dada zetu nao humpapatikia kwa sababu wanajua atakuwa ana dola za kutosha, kwa hiyo mzunguko wa ngono unaendelea. Kama ni ugonjwa basi huyu dada wa kiswahili anakuwa ashaubeba.

SWALI:
Je huu ni utalii tunaoutaka hapa Afrika? Ni wa Kimaendeleo?
 
Habari hii nimeinyaka jana, na nikawa naulizwa kama ni ya kweli. Sikuweza kukana wala kukubali, lakini ina ukweli fulani ndani yake, kwa sababu hii hata katika fukwe za Tanzania kama vile Zanzibar, Dar na Bwagamoyo ipo sana tu.
Soma,


OLDER WOMEN JOIN KENYA'S SEX TOURISTS


Najua kutakuwa na mawazo mchanganyiko katika hoja hii, lakini hebu tuijadili kwa undani, kwani vijana hao wa Mombasa ni sawa kabisa na wale wa pale Bwaganoyo ama Zanzibar wanaowachukua wazungu wazee, kwa hiyo madhara ama faida ni zile zile.
Vijana hawa waliotajwa hapo ni wadogo sana kiumri, yaani miaka chini ya thelathini, lakini vibibi wanavyochukua ni ajabu, miaka 56 na kuendelea. Pamoja na kwamba tunasema "Age Aint Nothing, but a Number" lakini tungalie madhara ya ngono hizi.
Hoja zangu mimi ni kwamba, kwanza, huenda hawa wazee wana magonjwa kutoka kwao, kwa hiyo huyaleta kwa hawa vijana kwa kuwapa pesa kibao za kujikimu, hivyo vijana hawa husahau kabisa suala la kuambukizwa. Nijuavyo, kutokana na uzoefu, sio wazungu wengi wanaopenda matumizi ya mipira ya kiume, kwa hiyo huenda vijana hawa wakaiga mkumbo huo kwa kwenda 'dry' na kuangamia vibaya (kumbuka hiyo story hapo juu, kijana anasema kalamba kama wazungu 100 hivi).
Pili, kuna hili suala la vijana kusaka "Makaratasi" ama viza, kwa maana ya pasi za kwenda majuu kwa kufanya mapenzi na hawa wazee, na baadaye kuwarubuni hawa wazee wawachukue na kwenda nao majuu kuwastarehesha, baadaye hawa vijana wanawatelekeza hawa wazee wakishafika huko, na kubakia wakiwa tayari wana makaratasi. Hii si haki. Hii nimeishuhudia, sihitaji kusimuliwa!
Tatu, kijana wa kiswahili aishachukua mzungu, dada zetu nao humpapatikia kwa sababu wanajua atakuwa ana dola za kutosha, kwa hiyo mzunguko wa ngono unaendelea. Kama ni ugonjwa basi huyu dada wa kiswahili anakuwa ashaubeba.

SWALI:
Je huu ni utalii tunaoutaka hapa Afrika? Ni wa Kimaendeleo?
Daah!
Ntawapata wapi hao wazungu bro??
 
Back
Top Bottom