ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,699
- 9,460
Hai all mafrendo wa cc hapa kijiweni
mpoje jamani shughuli, kazi, masomo yanakwendaje jamani
ndo tuko nusu mwaka wa 2013 mwenzenu niko very handover
na niko kamili huku nikiungurumisha stage kwa kubinuka kiupande
huku nikitoa neno kwa wale wasiotaka kubadilika hasa WANAUME
ONA HAPA SASA
Msishangae kwanini leo nasema hivi hizi tabia za hawa MAKAKA,
MABABA, YOUNG BOY zinanifanya niwafunde kila iitwapo leo.
Siku hizi kumezuka katabia kwao kwa kupenda kuingilia vitu ambavyo
haviwahusu na vilevile wana mikogo isipimika hata kwenye mizani hawa
ndugu zetu, Wewe mwanaume mzima umekuta watu wanazungumza
maongezi yao wewe unaanza kuingilia halafu vilevile unashadadia utadhani
ulikuwepo walipokuwa wanaanza, na wengine jambo lisilowahusu wanalishupalia
na kulivalia njuga utadhani ni lao.
Hivi tabia hiyo mtaacha lini ya kupenda
kutoa jambo huku na kupeleka kwingine huo ndo ummbea tunaousemaga
jamani WANAUME acheni tabia hiyo kwani nimefanya tafiti zangu wanaume
ndo wanaongoza kwa kuwa na tabia ya umbea/ upashunaku, na wanasema
kuwa eti wanawake ndo wenye tabia hiyo wakati wao ndo wenyewe
wanaongoza kwa 88% huoni nyie ndo wa wambea acheni tabia hiyo sio
njema, ukitaka kujua zaidi tembelea sehemu za maofisini utajua kuwa akina
nani wanaoongoza kwa ummbea ni WANAUME zaidi sana yani hata yale ya
makwao hutoaga bure bila hata kuona soni jamani makaka, mababa zangu
acheni tabia hiyo sio nzuri kabisa kwani inaondoa heshima kwenu jamani.
Mimi lady sina la kuongeza hapo kwani ujumbe nshaufikisha kwenu kazi
kwenu kubadilika, sijui marafiki zangu wa cc hapa hasa wanawake wana
semaje kwa hili maana imekuwa kero kubwa jamani, NDO MANA NAWAFUNDA
KULE KATIKA KONA YETU MJIREKEBISHE
ITAKUWAJE UWE MMBEA KIASI HICHO MPAKA UNAPITILIZA ACHENI
mpoje jamani shughuli, kazi, masomo yanakwendaje jamani
ndo tuko nusu mwaka wa 2013 mwenzenu niko very handover
na niko kamili huku nikiungurumisha stage kwa kubinuka kiupande
huku nikitoa neno kwa wale wasiotaka kubadilika hasa WANAUME
ONA HAPA SASA
Msishangae kwanini leo nasema hivi hizi tabia za hawa MAKAKA,
MABABA, YOUNG BOY zinanifanya niwafunde kila iitwapo leo.
Siku hizi kumezuka katabia kwao kwa kupenda kuingilia vitu ambavyo
haviwahusu na vilevile wana mikogo isipimika hata kwenye mizani hawa
ndugu zetu, Wewe mwanaume mzima umekuta watu wanazungumza
maongezi yao wewe unaanza kuingilia halafu vilevile unashadadia utadhani
ulikuwepo walipokuwa wanaanza, na wengine jambo lisilowahusu wanalishupalia
na kulivalia njuga utadhani ni lao.
Hivi tabia hiyo mtaacha lini ya kupenda
kutoa jambo huku na kupeleka kwingine huo ndo ummbea tunaousemaga
jamani WANAUME acheni tabia hiyo kwani nimefanya tafiti zangu wanaume
ndo wanaongoza kwa kuwa na tabia ya umbea/ upashunaku, na wanasema
kuwa eti wanawake ndo wenye tabia hiyo wakati wao ndo wenyewe
wanaongoza kwa 88% huoni nyie ndo wa wambea acheni tabia hiyo sio
njema, ukitaka kujua zaidi tembelea sehemu za maofisini utajua kuwa akina
nani wanaoongoza kwa ummbea ni WANAUME zaidi sana yani hata yale ya
makwao hutoaga bure bila hata kuona soni jamani makaka, mababa zangu
acheni tabia hiyo sio nzuri kabisa kwani inaondoa heshima kwenu jamani.
Mimi lady sina la kuongeza hapo kwani ujumbe nshaufikisha kwenu kazi
kwenu kubadilika, sijui marafiki zangu wa cc hapa hasa wanawake wana
semaje kwa hili maana imekuwa kero kubwa jamani, NDO MANA NAWAFUNDA
KULE KATIKA KONA YETU MJIREKEBISHE
ITAKUWAJE UWE MMBEA KIASI HICHO MPAKA UNAPITILIZA ACHENI