MakinikiA
JF-Expert Member
- Jun 7, 2017
- 5,011
- 6,542
Hili limetokea pale Nssf Ubungo
utakuta mtumishi anamjibu mwanachama wa mfuko,kwa sasa ni muda wa kula kuanzia saa7 mpaka 8.30 mchana, lisaa 1.30 , na kati ya hao wanaohitaji huduma hapo ofisini kuna wagonjwa waliofuata barua za matibabu ili wakatibiwe na bima ya Nssf ilibidi tumchangie mgonjwa pesa akatibiwe......yapo mengi sana sijui mpaka mkuu apige ziara huko siku moja .....
utakuta mtumishi anamjibu mwanachama wa mfuko,kwa sasa ni muda wa kula kuanzia saa7 mpaka 8.30 mchana, lisaa 1.30 , na kati ya hao wanaohitaji huduma hapo ofisini kuna wagonjwa waliofuata barua za matibabu ili wakatibiwe na bima ya Nssf ilibidi tumchangie mgonjwa pesa akatibiwe......yapo mengi sana sijui mpaka mkuu apige ziara huko siku moja .....