Uchaguzi 2020 Utakipigia chama gani kura kutokana na kaulimbiu zao?

mwengeso

JF-Expert Member
Nov 27, 2014
9,219
6,650
Niliahidi kuwa nitarejea JF baada ya uchaguzi Tuonane baada ya uchaguzi Oktoba 28 kwenda viwanjani, maofisini, vijiweni, mashuleni, vijijini, nyumba za ibada, nikisafiri kwa usafiri wa jamii (barabarani, reli, majini na angani), nitakatembelea na kuongea na baadhi ya marafiki na adui nje ya nchi, nk na kugundua kuwa kumbe kumekucha nisiendelee kulala.

Naomba msamaha kwa wanaJF kuwa narejea kwenye jukwaa pendwa, tofauti nilivyoahidi, kwa sababu uchaguzi ni kesho, uzalendo umenishinda kiasi inabidi niwashirikishe nilichokisikia na kukiona (kati ya watu 10 niliyoweza kuongea nao, kila kundi, papo kwa papo).

1) Viwanjani: nina maana viwanja vya kampeni. Kuna:
√ wagombea wanaonadi (79%) wasionadi (9%) na wasio na Sera (12%);
√ wanaotukana (2%), wasiotukana (89%), na wavumilivu (9%);
√ wanaotoa ahadi hewa (98%) na wanasema ukweli (2%); na
√ wanaohubiri liwalo na liwe (65%) na wanaombea amani (31%), nk.(4%)

2) Maofisini: kwa maslahi yao ya kiajiriwa, wapo:
√ wanaoamini miaka 5 ya utawala uliopo umewakumbuka (87%);
√ wenye matumaini na utawala uliopo (7%);na
√ wasioamini wala kuwa na matumaini na utawala wa sasa (5%); na
√ wasio na maoni yoyote (1%).

3) Vijiweni:
√ karibu idadi kubwa (93%) hawajui kinachoendelea zaidi ya kushabikia udaku. Kwa stori za matukio ya kufedhehesha ndio hupata usikivu na wafuasi wengi;
√ Asilimia zaidi ya 80 wana simu mpakato za bei mbaya na huzitumia kusoma mambo ya udaku kwenye mitandao ya kijamii; na
√ pungufu ya 36% wanajua hali halisi ya maisha yao na fursa za kiuchumi zilizopo.

4) Mashuleni:
√ Maslahi ya walimu kuboreshwa (78%);
√ Miundo mbinu ya shule kuboreshwa (69%);
√ Ubora wa mitaala (57%), kwamba elimu bado ni ya kukaririsha wanafunzi kuajiriwa;

5) Vijijini: asilimia zaidi ya 80% wanaukubali utawala wa sasa kwa kujali kero zao za maji (78%), nishati (89%), afya (77%), elimu ya watoto wao (89%), miundo mbinu ya usafiri (77%), nk.

6) Nyumba za Ibada: la msingi hapa ni uhuru na haki ya kuabudu (100%) na kuombea amani kwa kumtegemea Mungu (97%).

7) Wasafiri: kwa ujumula 89% wanapongeza utawala wa sasa kwa kuboresha miundo mbinu ya usafiri, barabarani (64%), reli (97%), majini (93%), angani (100%).

Je, WEWE mwanaJF uko kundi lipi hapo juu na kura yako utakipa chama gani ukizingatia vyama vinavyogombea vimejikita katika falsafa/kauli mbiu zifuatazo:

ACT-Mzalendo: Tanzania yenye watu wenye hali bora kijamii na furaha ya kweli, yenye kujali utu - (Kazi na Bata).

CCM: Tanzania ni nchi tajiri. Tukiamua tunaweza, "Tumetekeleza tunasonga mbele"

CHADEMA: Uhuru, Haki na Maendeleo ya watu.

CUF: Utajirisho

NCCR-Mageuzi: Mwafaka wa kitaifa
 
CCM. CCM. CCM. CCM. CCM. CCM. CCM. CCM. CCM. CCM. CCM. CCM. CCM. CCM. CCM. CCM. CCM. CCM. CCM. CCM.
 
Hamasisheni wanachama wa CHADEMA, wasiozidi milioni 5 kesho wakapige kura.

Washawishi wapiga kura wasio wanachama wa chama chochote kesho wakikipigie kura CHADEMA

Kumbuka CCM ina wanachama zaidi ya milioni 10 na wote wamehamasishwa na Jumuia za Chama (Wazazi, UWT, na Vijana) wakajiandikisha na kesho wote watakwenda kupiga kura za hasira M/Kiti wao kudharilishwa wakati wa kampeni

Pia kumbukeni waTz wanaopenda amani muda wa kuwabadilisha uamuzi wao wa kupiga kura ya chuki umepita
 
Hamasisheni wanachama wa CHADEMA, wasiozidi milioni 5 kesho wakapige kura.

Washawishi wapiga kura wasio wanachama wa chama chochote kesho wakikipigie kura CHADEMA

Kumbuka CCM ina wanachama zaidi ya milioni 10 na wote wamehamasishwa na Jumuia za Chama (Wazazi, UWT, na Vijana) wakajiandikisha na kesho wote watakwenda kupiga kura za hasira M/Kiti wao kudharilishwa wakati wa kampeni

Pia kumbukeni waTz wanaopenda amani muda wa kuwabadilisha uamuzi wao wa kupiga kura ya chuki umepita
cd
 
Hamasisheni wanachama wa CHADEMA, wasiozidi milioni 5 kesho wakapige kura.

Washawishi wapiga kura wasio wanachama wa chama chochote kesho wakikipigie kura CHADEMA

Kumbuka CCM ina wanachama zaidi ya milioni 10 na wote wamehamasishwa na Jumuia za Chama (Wazazi, UWT, na Vijana) wakajiandikisha na kesho wote watakwenda kupiga kura za hasira M/Kiti wao kudharilishwa wakati wa kampeni

Pia kumbukeni waTz wanaopenda amani muda wa kuwabadilisha uamuzi wao wa kupiga kura ya chuki umepita

Waligomaga kuhakiki taarifa hao CHADEMA

Saitakuaje
 
Hamasisheni wanachama wa CHADEMA, wasiozidi milioni 5 kesho wakapige kura.

Washawishi wapiga kura wasio wanachama wa chama chochote kesho wakikipigie kura CHADEMA

Kumbuka CCM ina wanachama zaidi ya milioni 10 na wote wamehamasishwa na Jumuia za Chama (Wazazi, UWT, na Vijana) wakajiandikisha na kesho wote watakwenda kupiga kura za hasira M/Kiti wao kudharilishwa wakati wa kampeni

Pia kumbukeni waTz wanaopenda amani muda wa kuwabadilisha uamuzi wao wa kupiga kura ya chuki umepita
Chadema
 
CHADEMA
NiYEYE 2020-2025
nitachagua kupata UHURU,HAKI NA MAENDELEO YA WATU kupitia CHADEMA.
Chadema chadema chadema
Nawaombeni maoni yenu baada ya CHADEMA kuingia kwenye kaburi viongozi wake walilichimba wenyewe
 
Back
Top Bottom