Utakatishaji pesa na ukwepaji kodi umekithiri kwenye Taasisi za Elimu za watu binafsi

Lazima niwaumbue na nishaanza kutafutwa nipeleke ushahidi. Wao wajiandae tu
Badala ya kukutishia, wangeku PM tu wakupe shekeli, labda ungenyamaza. Ona sasa ilipofikiašŸ˜ . Na akina macho_mdiliko wanachochea Moto. Hapo sasa.
 
Badala ya kukutishia, wangeku PM tu wakupe shekeli, labda ungenyamaza. Ona sasa ilipofikiašŸ˜ . Na akina macho_mdiliko wanachochea Moto. Hapo sasa.
Hawajui sijaanza kutishiwa leo. Kuna mmoja alitishia kunigonga na gari makusudi, kumbe mi namrekodi tu. His days are numbered
 
Tembeeni muone nchi nyingine wanavyoishi . Tatizo mnajifungia humo mnaona mmeshamaliza . Exposure kwa wabongo walio wengi ni zero
Nimeuliza swali dogo. Kama Tanzania kudai kodi ni ushamba, wapi siyo ushamba? Niambie nchi gani kwa exposure yako unafahamu kwamba kodi inatumika asilimia 100 kama wananchi wanavyotaka?

Badala ya kujibu unawaona wabongo wote hawana exposure. Possibly wewe tu ndo unajipa exposure. Bahati mbaya unadhani exposure ni kutembea. Ukiulizwa utasema ulaya na Amerika na Asia, sawa. Je wengine hawajafika ni wewe tu! Rubbish!
 
Mtu unamaliza shule, ajira serikalini hakuna. Unaamua kuajiliwa private ili angalau upate mtaji wa kujiajili uko unakuta figisu kibao. Hakuna kiinua mgongo, wala mafao, security ya ajira haipo na hata ukijaribu kuhoji kazi inakuwa chungu. Hivi kama serikali imeshindwa kutoa ajira, kwanini isihakikishe hizi private sector zinafata sheria kama zilizopo kwenye ajira za serikalini??...unafanya kazi miaka sita na hela inakatwa halafu unaenda kuangalia salio unakuta ni kidogo au hakuna kabisa, kweliii???..huo mtaji wa kujiajiri tunautoa wapi??!
Kweli kuna tatizo. Hapo ndo mimi huamini kwamba nchi hizi inabidi tutawaliwe kwa mkono wa chuma. Watu bado ignorance iko juu sana. Kuna watu hata hapa JF wanaamini maisha ni ujanja ujanja tu! Ndo maana unaona kuna watu wanashabikia watu wanaonyanyasa waajiliwa wao.

Wenye mashule walipe mishahara halali na waitaje ilivyo na walipe PAYE na wachangie mafao ktk mifuko. Nimeshasema. Tatizo hili ni sekta binafsi yote. Wenye vijihoteli ndo kabisa! Wanawaona vijana wanaowafanyia kazi kama watumwa wao. Kwa ujumla ni elimu ndogo ya wenye miradi hii.
 
Nitukane mwingine halafu matako unitanulie wewe!

Mavingereza yanakuuma maana hujui na ungetamani ujue hivyo you cant help it ila kuchukia wanaojua!

Na wewe ongea mavingereza kama unaona wivu sana!

Kanitukana na nina haki ya self defense,I stand my own ground!

Huwezi niletea micro aggressions nikuache hivi hivi!

Na wewe unaniletea aggressions,and fvcking up motherfvckers like you is my game!

Kafie huko!
Matusi ya kingereza wala hayanogi ngoja Mimi nikupe la kiswahili ili nilban potelea kule aah KATOMBW*** UNAKOKOTOMB**A
 
Matusi ya kingereza wala hayanogi ngoja Mimi nikupe la kiswahili ili nilban potelea kule aah KATOMBW*** UNAKOKOTOMB**A
Ndugu achana nae huyo....mi hata akiporomosha matusi yote ya hii dunia siwezi kujali sana manake ni maoni yake. Siwezi kutukanana na mtu nisiyemfahamu. Cha muhimu ni kwamba umefika na nashukuru baadhi ya watu sahihi wamepokea ujumbe huu
 
Kweli kuna tatizo. Hapo ndo mimi huamini kwamba nchi hizi inabidi tutawaliwe kwa mkono wa chuma. Watu bado ignorance iko juu sana. Kuna watu hata hapa JF wanaamini maisha ni ujanja ujanja tu! Ndo maana unaona kuna watu wanashabikia watu wanaonyanyasa waajiliwa wao.

Wenye mashule walipe mishahara halali na waitaje ilivyo na walipe PAYE na wachangie mafao ktk mifuko. Nimeshasema. Tatizo hili ni sekta binafsi yote. Wenye vijihoteli ndo kabisa! Wanawaona vijana wanaowafanyia kazi kama watumwa wao. Kwa ujumla ni elimu ndogo ya wenye miradi hii.
Serikali isimamie tu sheria, sector binafsi zinaweza kuisaidia sana kuondokana na tatizo la ajira. Waajiriwa wakilipwa stahiki zao kama migodi ya wazungu inavyofanya, ni rahisi mtu kupata mtaji wa kujiajiri
 
Sijaelewa kwanini watu wengine mnakuwa na hasira mpaka kufikia kutukana bila sababu ya msingi. Ishu hapa ni kwamba serikali inaibiwa mapato. Mfanyakazi anapoandikiwa salary ndogo ili makato yawe kidogo haimsaidii kitu manake kuna vitu ana loose pia, na hata kama angekuwa anafaidika lakini ukweli ni kwamba serikali inaibiwa. Utanzania ni pamoja na kulipa kodi stahiki, period.
Waache waibe maana hta wakilipa inavyostahili hela zinaenda kutumiwa matumizi ya ajabu km manunuzi ya mandege yanayoingiza hasara kila siku.
 
Worry about your own brain!

Dont get butt hurt with brains za watu wasiokuhusu!

Wewe deal na brain yako,mineā€™s least of your problems!

Dont fvck up my high!
Chief si ungepiga kimya tu! Ya nini ligi na mtu ambaye ameamua kuwa troll dhidi yako? Mwenzako yupo tayari hta kukesha hpa akikupa majibu ya kukera ili uendelee kumjibu!.
 
Uko sahihi mkuu.. Nilipe kodi then akina Bashite wazitumbue
Nchi ya hovyo hivi na political class yenye dumbest people of the nation with poor decision making skills ni useless kulipa kodi

Ni heri hiyo kodi ibaki hawa watu wale waendeshe maisha yao maana serikali ikikusanya matumizi yake ni ya hovyo kabisa na hayana impact kwa wananchi!

Hiyo kodi ni heri awalipe hao wafanyakazi wale...badala ya 2mil halisi anayolipa anarekodi laki 2,hiyo ni sawa kabisa!

Perfect!

Ni upumbavu kabisa kulipa kodi nchi zenye mifumo ya hovyo namna hii
 
Chief si ungepiga kimya tu! Ya nini ligi na mtu ambaye ameamua kuwa troll dhidi yako? Mwenzako yupo tayari hta kukesha hpa akikupa majibu ya kukera ili uendelee kumjibu!.

My name is dolomite and fvcking up motherfvckers is my game
 
Back
Top Bottom