Ndio hicho ninachokupendea Mwalimu wangu upo mwepesi kufahamu kila kitu Asante ubarikiwe ................... gfsonwinMziziMkavu, kumbe wewe mgomvi Dr wangu..........lol! nirudi kwako GABE100. ni rahisi sana kumjua mwanamke/ binti aliyeharibi mimba/ aliyetoa mimba iapo uko na muhusika karibu.
dalili zake ni
maumivu makali ya tumbo.
kupata homa kali
kupungukwa damu
mwili kujaa (ooedeima)
kizunguzungu
dalili hizi pia hutegemea njia iliyotumika katika kuharibu ujauzito huo. Iwapo binti ataharibu mimba kwa njia za kienyeji ni dhahiri kuwa dalili zitaongezeka kama vile kuwa na harufu mbaya ya mwili, maumivu makali sana ya tumbo na mgongo.
kwa wale wanakwenda hosp kuharibu hawa wamegawanyika katika makundi mawili.
kundi la kwanza ni wale wanaoharibiwa kwa kutobolewa nyumba ya mtoto kisha maji yandani omnionic fluid ika drain out ili kumfanya mtoto asuffocate na mwishowe kizazi kimterminate. mata nyingi hii ni kwa zile mimba kuanzia miez 3>
hawadalili zao mara nyinngi huwa kama dalili tajwa hapo juu. Pia huwea kutoa harufu kali na damu kutoka mfullulizo na mwishowe kabisa lazima at expell kiumbe.
kundi jingine ni wale wanaofanya D&C. hawa wao kwakua wanasafishwa kizazi kabisa hospitalini basi hawawi na complications sana zaid ya maumivu kidogo ya tumbo na kutoka damu.
siku hizi pia kuna vidonge vipo kwaajili ya pregnancy termination ambavyo vinafanya kazi iwapo ujauzito ni mdogo sana like haujazidi mwez mmoja. dawa hizi binti atumiapo basi kiumbe tajwa hutoka kama sehem ya hedhi yake tu.................. MziziMkavu endelea kumuelezea mmi kwa somo la kiulim naishia hapa............mimi siyo Dr ni mwl so ushauri wa Dr unahitajika pia.
Ndio hicho ninachokupendea Mwalimu wangu upo mwepesi kufahamu kila kitu Asante ubarikiwe ................... gfsonwin
Mimi nina Sifa gani sijuwi chochote wala sikuenda shule nitakuwaje na sifa?.......................... gfsonwin birthday yako lini umezaliwa tarehe gani na mwezi gani? mwaka usiambie ninataka kukupa Future kuhusu nyota yako?ahsante sana MziziMkavu Dr wangu. but sifa zako zaniacha hoi mimi
Mimi nina Sifa gani sijuwi chochote wala sikuenda shule nitakuwaje na sifa?.......................... gfsonwin birthday yako lini umezaliwa tarehe gani na mwezi gani? mwaka usiambie ninataka kukupa Future kuhusu nyota yako?
Mimi nitakubashiria lakini mimi sio Sheikh wala sio Mganga wa kienyeji wala sio Nabii wala sio Mchungaji.Kwa tarehe uliyotowa yaani 21/3March inakwenda hiyo Tarehe mpaka tarehe 20/4April kutoka Marach21,22,23,24, na kuendelea mpaka April 20.21/3 haya bashiri, but kama ni mambo mabaya just tell kwenye pm usiyaweke hapa