Bishanga
JF-Expert Member
- Jun 29, 2008
- 15,323
- 10,050
Mmekuwa watu wa karibu kitambo sasa,labda mko ofisi moja,darasa moja,mtaa mmoja etc. Mnaelezana mambo mengi hata yanayohusu mahusiano yenu ya kimapenzi na watu wengine. Mkiudhiwa na wapenzi wenu mnaambizana na kufarijiana,mkifurahishwa hali kadhalika.Ghafla mnaanza kuhisi mazungulukee na mahusiano yetu yanaanza kubadilika,kawivuuu kwa mbaaaaali kanaanza. Tuulizane wadau,ishawahi kukutokea hii,ulii handle vipi situation, kwa waliopitia hali hii nini dalili za kwanza kwamba 'ukaribu' unaanza kutoka ngazi ya 'urafiki' na kuwa 'romantic',je mwenzako aliipokeaje hii hali je naye alikudondokea au ndo yalikuwa mambo ya kuumizana roho? na je hao ma ex wenu waliichukuliaje ukizingatia wao walikuwa wanajua ninyi ni marafiki tu hivyo hata outing mlikuwa mnatoka wote?
.....Jumapili njema,Tanzania 5 Morocco 0......
.....Jumapili njema,Tanzania 5 Morocco 0......