Upo?umeadimika
Nipo aise. Mambo yako
Upo salama.
Tunachakachua siredi hapa
Upo?umeadimika
Kashengo what you did is not fair!! Alifiwa na mumewe of course alikua mpweke.... Ukitaka mapenzi ya kweli kabisa Neva take advantage of a person amabae yupo that vulnerable.... lazima in the long run mara nyingi utaishia kuwa Dissappointed... Believe me... Na hio kuenda kwako UDSM was the best thing for her for naamini for the first time alikalisha na ku analyse the whole situation... Hata hivo pole saana Kashengo... I know how it hurts...
Mara nying ubishi wa wanaume unachangiwa saana na vitendo vya Mwanamke... Kuna njia nyingi za kukataa ukasikika.... But huwezi kataa kwa maneno while vitendo ni vingine kabisa... mara umeshika accidentally... mara una mhandle kama vile boyfriend... a.k.a. possessiveness....
unaweza kuniita old fashioned lakini ndio maana mimi huwa nasisitiza hakuna kitu kama urafiki wa karibu baina ya jinsia mbili tofauti (i mean best friend thing). Hiyo kitu lazima mwisho wa siku mmoja wapo imzidi, imenitokea sana tu.
One thing i know ni kua if you have a great guy friend na mkaingia Uhusiano wa Mapenzi... You loose more than you gain for guys as friends are really good and reliable.... He is always there for you... Sometimes kuliko hata Mpenzi wako....
ashadii sio mumewe ila baba yake! Yalishakwisha nasikia anaolewa hv karibuni kilichonijia akilini ni kuwa alikuwa ananitumia..why? Coz alikuwa very jealous km nin na hakutaka simu isiwe hewani mi ujinga wangu sikuwa great thinker wakati huo nikapendwa nami nikapenda=nikajikuta nimelipuliwa...
Wanaume hawana normal friendship. Mkiwa karibu wao wataweza mengine tu, iko siku atakutongoza tu.
na hakuna uhusiano wa mwanamme na mwanamke wenye ukaribu alafu isiwe malove...lakini sio wanaume wote hutongoza ovyo wengne mpaka waone green light ndo anajilipua...lakini nyie waovu una mwonyeshea midalili lukuki kumbe haupo wala nini? Kifuatacho? Bifu
Unaweza kuniita old fashioned lakini ndio maana mimi huwa nasisitiza hakuna kitu kama urafiki wa karibu baina ya jinsia mbili tofauti (I mean best friend thing). Hiyo kitu lazima mwisho wa siku mmoja wapo imzidi, imenitokea sana tu.
kuna jamaa yangu alikuwa na rafiki wa kike,baada ya muda jamaa akahisi dada kamkolea kutokana na dalili za wivu akiwa na wasichana wengine,kupigiwa simu,kufuatwa rum. Jamaa akajilipua aafu akatoswa zaid ya mara tatu ila msichana akawa anamuambia anafurahia kampan yake ila hawawezi kuwa wapenzi. Kilichokuwa kinamuuma jamaa washkaj walikuwa wanachakachua yule dada na taarifa zinamfikia wakati yy ametamani mzigo na ananyimwa. Cku moja alimbana angle demu na msichana akaona hachomoki ikabidi amweleze ukweli jamaa. Kumbe dada alikuwa muathirika na anatumia doz ila hakutaka kumrisk mshkaja coz alimthamini sana. Mshkaji anamheshimu na kumjali yule dada kuliko hata mkewe.
kuna jamaa yangu alikuwa na rafiki wa kike,baada ya muda jamaa akahisi dada kamkolea kutokana na dalili za wivu akiwa na wasichana wengine,kupigiwa simu,kufuatwa rum. Jamaa akajilipua aafu akatoswa zaid ya mara tatu ila msichana akawa anamuambia anafurahia kampan yake ila hawawezi kuwa wapenzi. Kilichokuwa kinamuuma jamaa washkaj walikuwa wanachakachua yule dada na taarifa zinamfikia wakati yy ametamani mzigo na ananyimwa. Cku moja alimbana angle demu na msichana akaona hachomoki ikabidi amweleze ukweli jamaa. Kumbe dada alikuwa muathirika na anatumia doz ila hakutaka kumrisk mshkaja coz alimthamini sana. Mshkaji anamheshimu na kumjali yule dada kuliko hata mkewe.
Kuna imani kuwa mapenzi hufanyika kukiwa na "Chemistry of Love". Hali hii kama itatokea kwa nyote, ndio hapo mapenzi huanza, lakini ikiwa ni kwa upande mmoja tu, muathirika anaweza akaangukia katika kupoteza rafiki na kutoaminiwa tena.
Ili kuhakikisha kuwa kweli mahusiano yenu ni mapenzi, lazima mpitie hatua tatu: 1. Matamanio 2. Mvuto. 3. Mapenzi/Upendo. Katika hatua ya 1&2 inaweza kuwa kwa upande mmoja au pande zote mbili, mkatamaniana, kuvutiana na hata kujaribiana, lakini hii huwa kwa muda tu. Msipofika hatua ya 3 itakuwa mmo katika kutafuta, na ikiwa mtafikia hatua ya mapenzi mnakuwa vipofu na viziwi (hapa inakuja ile Love is blind) kiasi hamtoona wala kusikia weengine wanasema nini.
Nakubaliana na Ashadii kwenye suala la reliability, ni kweli wanaume huwa more reliable as friends kuliko as lovers na sababu ziko wazi. (Da Asha naomba unisaidie hapa.......maana naona uvivu sana kutype). Kwa upande mwingine, wanawake as friends huwa hawako reliable sana kama ambavyo huwa kama wapenzi (Msinishambulie ni opinion tu)Ni kweli kabisa kwani kwani ikiwa mlianza kama rafiki badae wapenzi, mara nyingi mapenzi yakiisha hayaishi "kirafiki" kwa hiyo utakuwa umepoteza mpenzi na rafiki.
Kwenye red, nahisi hata girls as friends are really good and reliable. Nawashangaa wanosema hakuwezi kuwa na urafiki baina ya jinsia mbili tafauti!