MwanajamiiOne
Platinum Member
- Jul 24, 2008
- 10,470
- 6,562
- Thread starter
- #81
Mi Mwana naweza kusema wewe ulikurupuka kuolewa na huyo jamaa.
Ulitakiwa mkae hata miaka mkichunguzana lakini wewe ulipo pewa ofa ya kuolewa basi ukanywea haya ndo madhara yake na kama umefunga harusi ya kanisani we vumilia tu jikaze kisabuni mpaka jamaa awe na mvi ndo utapumua.
Na kweli niliharakisha kujimovuzisha kwake mbona cha moto nakiona!. Ila si ushanambia kuwa nawezachomoka? Nilichokuwa nataka kwenu ni kuona kama nilikuwa sawa kumfikiria ninavyomfikiria, kujua kama hizo alizonazo yeye ni dalili za mtumiaji. Aksate