Utajuaje kuwa anakupenda au anakutumia tu....?

Ok
They say Love is two way traffic. Na ndilo sote tunalolitegemea. But kuna watu wengine ambao huwa wanahisi wao ndo wanataka kufanyiwa kitu fulani tu! Hilo huwa ndo kosa kubwa. Bwana mzee baada ya kuona ww ndo unamfata ama niseme unajipeleka akaona ww umeoza kwake,,,, kosa la kwanza ulilolifanya wewe. Alipokubeep kuhusu kum-recharge wewe hukugundua ukampatia,,,, yeye akajua zako ni nyingi na hazina kazi. Hayo yalikuwa makosa yako! Mnapoelekea katika maisha ya kufunga ndoa mmekuwa na mzigo wa matumizi makubwa kiasi ambacho jamaa hajui kuwa anayumbisha kipato cha mmoja wenu. Bado ni maisha ya club na hivi na vile. Tena mshukuru Mungu kuwa mna kibarua! Once huyu jamaa hana kibarua na hali kadhalika wewe huna ndo basi tena anaweza akakutuma ukafanye ufuska ili apate hela ya club.
Ni mara chache sana kukuta mwanaume anamuuliza mkewe mshahara wake.
Mimi nakushauri uwe makini kuchambua mtizamo wetu. Kama unaona kuachana naye kutakusaidia wewe kujijenga kimaisha na unakubali kuanza moja basi fanya hivyo. Kama hutopata faraja kwa kuchana naye basi kaeni chini umweleze unachopenda na usichopenda. Una nafasi bado. Pia nakushauri kwa sasa ahirisha ndoa na mweleze wazi kuwa hauko tayari kwa hilo kwa sasa.
Mambo ya watu wanajua uhusiano wenu na nini na nini,,, just forget it,,,, wewe ndiye uliye humo ndani. Kama ni ngoma ni wewe unaicheza na sio wao.
All the best.
Eka Mangi


Yaani uliyoyasema hapa Eeka ni kama vile wewe ndio yeye ananijibu hapa maana is exactly what is happening na inaweza kuwa worse than that. Tatizo nafikiri mie niko sensitive na maisha than he is though kwangu yeye ni mkubwa kiumri.

Napenda kukushukuru kwa ushauri wako ninaahidi nitaufanyia kazi. Thanx and be blessed.
 
Wapenzi ninawaomba nifunge mjadala huu kwa kuwashukuru sana wote mliochangia maoni yenu hapa. Na nashukuru pia kuwa angalau mmenidhihirishia kuwa kile nilichokuwa ninakifikiria yet afraid to face its truth kimekuwa ni cha kweli. Kusema ukweli I had this feeling siku nyingi kuwa natumiwa na siku atakapopata mwanamke amtakaye yeye hatasita kuniacha.

Nimegundua pia hata ningeweza kumbeba mgongoni na kumpa raha zote duniani mwisho angekujaniumiza tu. Nimekuwa nikijaribu kufanya juu chini ili kumhakikishia tu kuwa mimi ni wake na niko mwaminifu katika hilo but all in vain. Hatimaye nikikaa na kutafakari I will have my strenth back na Mungu anisaidie niweze na naamini NITAWEZA.

Mbarikiwe sana.
 
Brook huyu ni mwenzi ambaye tuko naye kwenye serious relationship (or what seems to be as one) ninayetarajia kufunga naye ndoa katikati ya mwaka huu. Bahati mbaya tulianza kwa kuvutana tu tukajihalalishia.
Kama mmejihalalishia huyo ni MUME.
Ninyi si wachumba tena kwani mmeshaanza kuishi pamoja.
Kwa stage yenu mliyofikia ya mahusiano mpo kwenye hatua za awali za STAGE YA TORTUTE kati ya 4 stages za MARRIAGE LIFE CYCLE,ambapo mmeshavuka ile ya HONEYMOON STAGE ambayo hudumu kati ya mwaka mmoja mpaka mitatu inategemea relationship na relationship.
Moja ya characteristics za hiyo stage ni kama hizo.

Hayo unayoface ni ya kawaida.
Kuna changamoto nyingi sana, hizo ni ndogo zisikuumize kichwa focus kwenye big picture ,that is,mambo ya msingi mnayotaka kufanya kama familia.

ANGALIZO:HAKIKISHA UNAPATA KARATASI YAKO HUO MWEZI WA SITA/SABA FOR YOUR OWN SAKE.
 
Ndugu zangu nisaidieni...
Ninahisi natumiwa au namjudge vibaya please kama kuna dalili nyingine naombeni kabla sijachukua uamuzi.
Ni Mtu ambaye tunatarajia kufunga ndoa rasmi July 2009. !!
Wapenzi...

Kusema ukweli I had this feeling siku nyingi kuwa natumiwa na siku atakapopata mwanamke amtakaye yeye hatasita kuniacha.

Nimegundua pia hata ningeweza kumbeba mgongoni na kumpa raha zote duniani mwisho angekujaniumiza tu. Nimekuwa nikijaribu kufanya juu chini ili kumhakikishia tu kuwa mimi ni wake na niko mwaminifu katika hilo but all in vain. Hatimaye nikikaa na kutafakari I will have my strenth back na Mungu anisaidie niweze na naamini NITAWEZA.

Mbarikiwe sana.

...Mungu wangu!, Dont tell me umeamua kuuvunja uchumba?! :(
 
Wapenzi ninawaomba nifunge mjadala huu kwa kuwashukuru sana wote mliochangia maoni yenu hapa. Na nashukuru pia kuwa angalau mmenidhihirishia kuwa kile nilichokuwa ninakifikiria yet afraid to face its truth kimekuwa ni cha kweli. Kusema ukweli I had this feeling siku nyingi kuwa natumiwa na siku atakapopata mwanamke amtakaye yeye hatasita kuniacha.

Nimegundua pia hata ningeweza kumbeba mgongoni na kumpa raha zote duniani mwisho angekujaniumiza tu. Nimekuwa nikijaribu kufanya juu chini ili kumhakikishia tu kuwa mimi ni wake na niko mwaminifu katika hilo but all in vain. Hatimaye nikikaa na kutafakari I will have my strenth back na Mungu anisaidie niweze na naamini NITAWEZA.

Mbarikiwe sana.
Mijadala kama hii huwa haifungwi mama.
Acha watu wazidi kupost ,huenda unaweza kupata best of the best solutions.

Believe me kuna wengi kama wewe, usidhani kuwa upo peke yako kwenye matatizo kama hayo.
Umeanzisha thread nzuri ambayo inaweza kusaidia wengi.

Subira mama,huwa inavuta heri.
 
Bonnie mh hizo stages ni ngapi za maumivu zaidi ya hii? Kama zipo nyingine naomba unieleza tafadhali










Mbu sijafanya maamuzi bado but I am heading to that ingawa sijajua ntaamua vipi kati ya kumkalisha na kuspeak up my mind plainly ajue nimejua anachonifanyia au nimwambie yatosha tulipofikia.
 
...Mungu wangu!, Dont tell me umeamua kuuvunja uchumba?! :(

Hiyo ni haki yake kama amefikia hatua hiyo. Na nafikiri hapa alikuja kupima je yuko sahihi kufanya hivyo?
Ameshauriwa na amewaelewa.
Kila la kheri MJ1.
Mungu akuongoze katika maisha yako mapya.
 
Mijadala kama hii huwa haifungwi mama.
Acha watu wazidi kupost ,huenda unaweza kupata best of the best solutions.

Believe me kuna wengi kama wewe, usidhani kuwa upo peke yako kwenye matatizo kama hayo.
Umeanzisha thread nzuri ambayo inaweza kusaidia wengi.

Subira mama,huwa inavuta heri.

Jamani inaruhusiwa kuufungua tena mjadala huu? kwani naona kama sijamtendea haki Bonnie kwani perspective yake ni tofauti kidogo na zilizotangulia.
 
Bonnie mh hizo stages ni ngapi za maumivu zaidi ya hii? Kama zipo nyingine naomba unieleza tafadhali










Mbu sijafanya maamuzi bado but I am heading to that ingawa sijajua ntaamua vipi kati ya kumkalisha na kuspeak up my mind plainly ajue nimejua anachonifanyia au nimwambie yatosha tulipofikia.
Kwa wanaotaka kuzifahamu hizo stages ambazo kila mtu anazipitia kwenye Ndoa/Serious Relationship ni kama zifuatazo:
MARRIAGE LIFE CYCLE
1.Honeymoon stage
2.Torture Stage
3.Tolerance
4.Compromise
 
Kwa wanaotaka kuzifahamu hizo stages ambazo kila mtu anazipitia kwenye Ndoa/Serious Relationship ni kama zifuatazo:
MARRIAGE LIFE CYCLE
1.Honeymoon stage
2.Torture Stage
3.Tolerance
4.Compromise

Hebu tufafanulie kidogo katika kila stage, ni nini hutokea.
 
Hiyo ni haki yake kama amefikia hatua hiyo. Na nafikiri hapa alikuja kupima je yuko sahihi kufanya hivyo?
Ameshauriwa na amewaelewa.
Kila la kheri MJ1.
Mungu akuongoze katika maisha yako mapya.

...No, no, no! ....and another BIG NO!

kwenye maisha ya ndoa/pamoja kuna mazuri na mabaya. Upeo wa busara ni pamoja na kutafakari mazuri ya kuyachukua na mabaya ya kuyaacha.

'kutumiwa' ni dhana tu, na dhana isiwe kigezo cha mtu kuachana na mchumba/mke/mume! ...Work on it/deal with it!

Mwanajamii, Don't let today's disappointments cast a shadow on tomorrow's dreams.
 
[/B]
Hebu tufafanulie kidogo katika kila stage, ni nini hutokea.
1.STAGE OF HONEYMOON(1 to 3 years of relationship)
Mapenzi motomoto, mara nyingi ni kile kipindi ambacho lazima mpitiane mkitoka ofisini,utani mwnigi, ni wakati wa furaha muda wote kati ya wanandoa,kila mtu anaona kwa nini alichelewa kuolewa na mwenzake.

2.STAGE OF TORTURE(3 to 6 years)
Ni kile kipindi ambapo mmeishi pamoja kwa muda sasa, na mmeanza kuzoeana.Kama watoto basi mmesha zaa.UNAANZA kuexperience matatizo ndani ya uhusiano.Yanaweza yakawa ya ndani kati yenu au ya kutoka nje either kwa ndugu or marafiki.

3.STAGE OF TOLERANCE(6 to 10 years)
Ni kile kipi ambacho unaanza KUDEVELOP solutions kwa matatizo ambayo umeyapata kwenye previous stage, na kuangalia ni kwa jinsi gani utadumisha ndoa/mahusiano yako despite matatizo yaliyopo.

4.STAGE OF COMPROMISE(10 to infinity)
Ni hatua ya mwisho ambapo BUSARA imeshaingia kwenye kichwa chako, ukipima faida na hasara kwa kila tatizo linalotokea na kuamua kucompromise.
Mfano,Haikutakiwa kuwa X ilitakiwa kuwa Y, lakini kwa vile Y imetokea basi na iwe Y bada ya X.

Kipindi ambacho wahusika watakaa kwa kila stage hutegemea mambo makuu mawili:
1.Haiba(Personality) ya Wahusika
2.Chanzo cha Mahusiano(Jinsi gani walianza mahusiano yao)
 
...No, no, no! ....and another BIG NO!

Sikuelewi hapa,,,, sina maana nimemwambia aachane naye,,, uamuzi anao yeye na sio sisi! KITANDA USICHOKILALIA HUJUI,,,,,,,,,,,,,,,,, malizia mwenyewe!
 
Sikuelewi hapa,,,, sina maana nimemwambia aachane naye,,, uamuzi anao yeye na sio sisi! KITANDA USICHOKILALIA HUJUI,,,,,,,,,,,,,,,,, malizia mwenyewe!

...KUNGUNI WAKE! :) ...haki yake 'kuhama' kitanda lakini ajaribu kwanza kutumia 'X-Pel', 'Boom', Reid au Rungu...

...ndio maana ikasemwa, " stahmili joto la bakery upate mkate!"
 
...KUNGUNI WAKE! :) ...haki yake kuhama kitanda lakini ajaribu kwanza kutumia 'X-Pel', 'Boom', Reid au Rungu...

Vyote vikishindikana unatumia maji ya moto ama? Ha haaa!
Akitumia X-Pel ama Doom au Raid hata wewe Mbu utakuwa mashakani.
Asante mkuu kwa ushauri
MJ1 haya tumia dawa hizo umepewa.
 
1.STAGE OF HONEYMOON(1 to 3 years of relationship)
Mapenzi motomoto, mara nyingi ni kile kipindi ambacho lazima mpitiane mkitoka ofisini,utani mwnigi, ni wakati wa furaha muda wote kati ya wanandoa,kila mtu anaona kwa nini alichelewa kuolewa na mwenzake.

2.STAGE OF TORTURE(3 to 6 years)
Ni kile kipindi ambapo mmeishi pamoja kwa muda sasa, na mmeanza kuzoeana.Kama watoto basi mmesha zaa.UNAANZA kuexperience matatizo ndani ya uhusiano.Yanaweza yakawa ya ndani kati yenu au ya kutoka nje either kwa ndugu or marafiki.

3.STAGE OF TOLERANCE(6 to 10 years)
Ni kile kipi ambacho unaanza KUDEVELOP solutions kwa matatizo ambayo umeyapata kwenye previous stage, na kuangalia ni kwa jinsi gani utadumisha ndoa/mahusiano yako despite matatizo yaliyopo.

4.STAGE OF COMPROMISE(10 to infinity)
Ni hatua ya mwisho ambapo BUSARA imeshaingia kwenye kichwa chako, ukipima faida na hasara kwa kila tatizo linalotokea na kuamua kucompromise.
Mfano,Haikutakiwa kuwa X ilitakiwa kuwa Y, lakini kwa vile Y imetokea basi na iwe Y bada ya X.

Kipindi ambacho wahusika watakaa kwa kila stage hutegemea mambo makuu mawili:
1.Haiba(Personality) ya Wahusika
2.Chanzo cha Mahusiano(Jinsi gani walianza mahusiano yao)

Bonnie aksante sana kwa ufafanuzi wako ila naomba kuuliza asa mbona mie nimeanzia moja kwa moja kwenye hiyo ya uchungu? Maana tangu tumekutana huu ni mwaka wa pili sasa hiyo honeymoon stage mbona sijaiona au itakuja baadaye?
 
Bonnie aksante sana kwa ufafanuzi wako ila naomba kuuliza asa mbona mie nimeanzia moja kwa moja kwenye hiyo ya uchungu? Maana tangu tumekutana huu ni mwaka wa pili sasa hiyo honeymoon stage mbona sijaiona au itakuja baadaye?

Mi Mwana naweza kusema wewe ulikurupuka kuolewa na huyo jamaa.
Ulitakiwa mkae hata miaka mkichunguzana lakini wewe ulipo pewa ofa ya kuolewa basi ukanywea haya ndo madhara yake na kama umefunga harusi ya kanisani we vumilia tu jikaze kisabuni mpaka jamaa awe na mvi ndo utapumua.
 
Mi Mwana naweza kusema wewe ulikurupuka kuolewa na huyo jamaa.
Ulitakiwa mkae hata miaka mkichunguzana lakini wewe ulipo pewa ofa ya kuolewa basi ukanywea haya ndo madhara yake na kama umefunga harusi ya kanisani we vumilia tu jikaze kisabuni mpaka jamaa awe na mvi ndo utapumua.

Malaika wote hawana mbawa na pia sio wote ni weupe.
 
Mi Mwana naweza kusema wewe ulikurupuka kuolewa na huyo jamaa.
Ulitakiwa mkae hata miaka mkichunguzana lakini wewe ulipo pewa ofa ya kuolewa basi ukanywea haya ndo madhara yake na kama umefunga harusi ya kanisani we vumilia tu jikaze kisabuni mpaka jamaa awe na mvi ndo utapumua.

...Fidel80, huyo ni mchumba tu, ndoa yao matarajio ni July... lakini hali nionavyo hapa huenda tusiile pilau siku hiyo ilhali nilishajiandaa...
 
Bonnie aksante sana kwa ufafanuzi wako ila naomba kuuliza asa mbona mie nimeanzia moja kwa moja kwenye hiyo ya uchungu? Maana tangu tumekutana huu ni mwaka wa pili sasa hiyo honeymoon stage mbona sijaiona au itakuja baadaye?
Mama,
Siyo kweli kuwa umeanzia hiyo stage ya uchungu.

Kipindi kile mlichopendana na kutongozana na kufikia mpaka maamuzi ya kuishi pamoja(kujihalalishia kama ulivyosema) ndicho kilikuwa Honeymoon yenu.

Bahati mbaya hiyo stage ya Honeymoon ,haikulast kwa muda mrefu.

Kumbuka nilivyoeleza kuwa, inategemea HAIBA ya wahusika na CHANZO cha Mahusiano.
 
Back
Top Bottom