Utajuaje kuwa anakupenda au anakutumia tu....?

Nitajuaje unanichuna?

Jamani Fidel si you guys have your own measures for that? Mnazo dalili zenu za kuweza kujua kama huyu msichana ni after chapaa na wala si mapenzi. Kwa wasichana ni rahisi kujua na nadhani hata mie nazijua but kwa mwanaume sijui kwani anaweza akafanya kitu ukamwuliza akakupa sababu za kujustfy. Sasa ndio maana nauliza kwa sababu sometimes sababu ninazopewa mh hata mtoto mdogo hazikubali.
 
Lakini pia inawezekana mwenzi wako ametambuwa kwamba kipindi hiki ni cha mtikisiko wa uchumi, so anaamua kufuatilia up to the last penny. Ndo maana akisikia inflow anashangilia coz under this economic meltdown, cash inflow ni bonge la good news MJ1!

Ah Brook ingawa imenisaidia kuondoa stress hii post yako. We acha tu hiyo global financia crunch inatatuliwa ma mshahara wangu tu. Mbaya sasa wadhani akiuchukua anautumia wisely? Sometimes tunagombana kuwa he is not responsible man anakwenda kunywea pombe na kutamba kwa marafiki zake aonekane anazo. Sometimes tunapokuwa na madeni kama maji hivi atatafuta njia za mkato ili mradi tu asilipe the amount inayotakiwa . Inanikera sana but ukimwambia anakujibu ' hapa ni mjini unafikiri watu wanaishi kama unavyofikiria wewe?'

kushangilia kwake yaani huwa ni kwa muda ukishampatia hiyo pesa na maagizo mliyokubaliana mzifanyie yanasahaulika then anazitumia anavyojua yeye sasa uje umwulize hebu zile pesa zimekwisha umefanyia nini weee ni ugomvi kwamba unamsimanga pesa yenyewe pesa gani (ukitizama hiyo anayosema pesa gani yeye hata robo yake sioni zinakokwenda) na ole wako upate pesa usimpe yaani utanuniwa humo ndani hadi ujute.
 
Brooklyn,
You have made my day maana nimecheka sana baada ya kuwa very serious the whole day.
Sasa kama anashangilia cashflow ya MJ1 pale anaposikia king'ora cha ushindi kama kwenye kamari, na yeye je ya kwake inatoa au??
Tusubiri Mj1 atujuze

Samahani Mj1 usikasirike kwa vile tumetaka kujua undani zaidi ili tukupe maoni yetu.

WoS usijali dada yangu nia yangu ni kusaidiwa niko tayari kucooperate accordingly.
Mh yake mwali hata siijui huwa napigiwaga hesabu juu juu tu oh unajua nlichukuaga mkopo nakatwa kiasi kadhaa mwisho hata nusu milioni haifiki na akishapata atanunua vimchele na sukari havizidi hata alfu 50 then husikii tena (na hiyo huwa ni mara moja moja).
 
Ah Brook ingawa imenisaidia kuondoa stress hii post yako. We acha tu hiyo global financia crunch inatatuliwa ma mshahara wangu tu. Mbaya sasa wadhani akiuchukua anautumia wisely? Sometimes tunagombana kuwa he is not responsible man anakwenda kunywea pombe na kutamba kwa marafiki zake aonekane anazo. Sometimes tunapokuwa na madeni kama maji hivi atatafuta njia za mkato ili mradi tu asilipe the amount inayotakiwa . Inanikera sana but ukimwambia anakujibu ' hapa ni mjini unafikiri watu wanaishi kama unavyofikiria wewe?'

kushangilia kwake yaani huwa ni kwa muda ukishampatia hiyo pesa na maagizo mliyokubaliana mzifanyie yanasahaulika then anazitumia anavyojua yeye sasa uje umwulize hebu zile pesa zimekwisha umefanyia nini weee ni ugomvi kwamba unamsimanga pesa yenyewe pesa gani (ukitizama hiyo anayosema pesa gani yeye hata robo yake sioni zinakokwenda) na ole wako upate pesa usimpe yaani utanuniwa humo ndani hadi ujute.

Kama unampenda kwa dhati regardless ya mapungufu yake, tengeneza utaratibu utakaowezesha kutekeleza majukumu kama ya kulipa bills ( nakushauri hii fanya mwenyewe maana umesema ukimpa pesa anaenda kulewea au anatafuta njia za mkato) pia mweke kwenye utaratibu wa allowance ( kwa wiki au mwezi) maana inaonekana anakutegemea kiuchumi.
Kama hupendi na unakereka na kutokuwajibika kwake kipindi hiki cha uchumba, nadhani usijali sana moyo wako unampenda kiasi gani.Mwache mara moja na utapata mtu mwingine kwa mapenzi ya Mungu.Usisahau kuwa baada ya fungate na utakapoingia kwenye maisha halisi utajuuuuuta kumfahamu maana atakukera zaidi na siajabu ukaishia kuwa wa kubeba mzigo wote wa kuangalia familia ilhali yeye anajitutumua kuwa ni mwanaume kwenye nyumba na huku hawajibiki.Utaumia zaidi.
 
swity ukimjibu WOS ndio 2tapata upanuzi wa kukujibu vizuri, hapo pengine ningekushauri ucpende kujihusisha napo sana, ndio mwanzo wa headache, kila mmoja ahucke na cm yake.

Dada hapa ninakuelewa na mie yake wala sinaga shauku nayo ila mfano ikitokea kuna picha nataka kuiangalia kwenye simu yake au nikitaka kupiga picha (kamera) yaani anavyokuwa sensitive hadi unashangaa hata kama yuko futi ngapi huko utashtukia keshakuja na kukunyanganya akidai 'lete nikuonyeshe' yaani atakavyokurupuka hadi unamshangaa wewe mwenyewe.


Ila yako sasa hata ukiwa unacheza game utasikia 'nani huyo' mtu akikosea namba (wrong number) utakoma utaambiwa unamfahamu ila ameogopa kwa kuwa umempa signo kuwa yeye yupo so ajidai wrong number yaani huwa ni kero nachukia hadi basi but nashindwa kuvumilia.

Ukipata sms ya ndugu yangu ambaye bahati mbaya anawafahamu wachache sana ukijitahidi kumwambia ni fulani utasikia 'mi simjui huyo'
 
Kama unampenda kwa dhati regardless ya mapungufu yake, tengeneza utaratibu utakaowezesha kutekeleza majukumu kama ya kulipa bills ( nakushauri hii fanya mwenyewe maana umesema ukimpa pesa anaenda kulewea au anatafuta njia za mkato) pia mweke kwenye utaratibu wa allowance ( kwa wiki au mwezi) maana inaonekana anakutegemea kiuchumi.
Kama hupendi na unakereka na kutokuwajibika kwake kipindi hiki cha uchumba, nadhani usijali sana moyo wako unampenda kiasi gani.Mwache mara moja na utapata mtu mwingine kwa mapenzi ya Mungu.Usisahau kuwa baada ya fungate na utakapoingia kwenye maisha halisi utajuuuuuta kumfahamu maana atakukera zaidi na siajabu ukaishia kuwa wa kubeba mzigo wote wa kuangalia familia ilhali yeye anajitutumua kuwa ni mwanaume kwenye nyumba na huku hawajibiki.Utaumia zaidi.

Hapo dada umenigusa ninampenda sana na analijua hilo. Tatizo ni kuwa nina wasiwasi na mapenzi yake kwangu. Huwezi amini hatupiti wiki bila kugombana na sometimes kisa kidogo sana kisicho na kichwa wala miguu. Sometimes ninaamini kabisa kuwa ananipenda nikiwa na kitu otherwise hanirespect hata nikimwambia kitu kama 'mke' anakipuuza mfano akichelewa kurudi nyumbani nikimwambia sipendi unavyotembea usiku ninakuwa na wasi wasi kama uko salama (ukizingatia uwezo wake wa kunywa na kulewa; leo utamsema karudi saa sita kesho atakurudia tisa. Nimefikia hatua ya kukaa kimya akirudi usiku sisemi kitu.

Tatizo ni kuwa tumeishi nawe muda mrefu na watu wengi (familia) wanatutambua kama mtu na mkewe sasa hafikiria nitaanzaje kumwacha sometimes huwa ninaomba Mungu apate nyumba ndogo ili anipunguzie kero.
 
Jamani Fidel si you guys have your own measures for that? Mnazo dalili zenu za kuweza kujua kama huyu msichana ni after chapaa na wala si mapenzi. Kwa wasichana ni rahisi kujua na nadhani hata mie nazijua but kwa mwanaume sijui kwani anaweza akafanya kitu ukamwuliza akakupa sababu za kujustfy. Sasa ndio maana nauliza kwa sababu sometimes sababu ninazopewa mh hata mtoto mdogo hazikubali.

Tatizo ni kwamba wanawake mnapenda kudanganywa na miahadi hewa kibao.
Mwanamke ukimwambia ukweli basi humpati lakini mfunge kamba aaah unakula vitu au unakamua vitu.
 
Yaani we acha tu kama huyo amesema cmu yake haiguswi ni bora abaki hivyo hivyo hata mimi nikiwa na g/f cmu yake sigusi kabisa nikupeana presha tu mi yake sigusi na yangu hagusi.

Mh nakubaliana nawe kabisa shemeji but kama hutaki yako dada aguse na wewe usiguse yake. Mie wangu hataki yake niguse but yangu ni yake hiyo hainisumbui sana kwani am so clean (speaking from my heart0. Tatizo ni kuwa chochote atakachokikuta lazima akichukulie negative. Akikuta sms zake tu na za watu anaowafahamu w ambiwa unafuta sms za watu wake. Akienda kwenye call register mambo ni yale yale yaani ni kero.

Mnaweza kugombana kwa kuwa kuna wrong number imeingia kwako anataka ukiongea na huyo mtu ulegeze sauti kama unaongea naye ukianza tu na halo we nani basi kwake hiyo ni sign kuwa unamtonya kuwa yeye yupo so ajifanye wrong number yaani huwa natamani niende Voda niwaombe wawe wanascreen simu zangu kabla ya kuziruhusu zije kwangu!!!
 
Tatizo ni kwamba wanawake mnapenda kudanganywa na miahadi hewa kibao.
Mwanamke ukimwambia ukweli basi humpati lakini mfunge kamba aaah unakula vitu au unakamua vitu.

Ah Fidel ni kweli kabisa but tatizo ni kwamba kwangu mie ni tofauti. Mie aliponipata hakutakiwa kunidanganya kwa kuwa nilishadangaywa vya kutosha. Nilimpenda yeye kama yeye na nilimwambia kabisa kuwa najua hana kitu tutatafuta wote na nina imani tutapata. Namjua vilivyo as far as kipatowise is concern. Nisichopenda mie ni hivi anavyonitreat kama kitega uchumu yaani inauma kuwa na mtu ambaye he is sweet to you only anaposikia unapesa na hata ukishamkabidhi hizo pesa kukizuka kijikosa kidogo (mf. Housegirl hajamsalimia) anasahau kabisa kuwa wewe ni mtu special kwake anakunyambua utatamani dunia ipasuke uingie.

Am not saying that he should respect me kwa kuwa nampa pesa no but should do that kwa kuwa Am his that special person.
 
Nilimpenda yeye kama yeye na nilimwambia kabisa kuwa najua hana kitu tutatafuta wote na nina imani tutapata.

Nani alianza kumpenda mwenzie?
Si alikuja yeye na kukukwambia kuwa amekupenda na bla bla kibao na wewe ukashawishika kumpenda au wewe ulianza kumshawishi yeye?
 
Shoga huyo hata kama ni bf au mume HAFAI!

1. Akibofya ya kwake na wewe chukua yako ubofyebofye [/QOUTE]

Mh ukianza tu kubofya yako utasikia nani huyo na hata ukimwambia mwenzangu mpaka aichukue atizame. Na ukimwambia mbona wewe sikuulizi na unabofya hapo saa hiyo hiyo atakwambia nachat na flani (mtu unayemfahamu either ndugu yake au mdogo wako wewe)

2. Hiyo ni dalili tosha ya userengeti boy...halafu usipende sana kumhusisha mwanamme kwenye madilii yako. Heri sema umekopa pesa hata kama ni zako.
......... anavyokuchunguza sidhani kama utaweza kumficha chochote but sometimes ni kiherehere changu nikipata dili huwa najikuta nimemwambia kuna kazi natarajia kupaa ina kiasi flani basi hapo huwa naharibu kila kitu. Ingawa ataanza nani kakuunganishia na kama ni mwanaume basi unalo anaweza hata kukukatalia. Kuna kazi moja nilipataga ya kama 2M. Nikamwambia acha aje juu sasa kwa kuwa nilikuwa nahitaji pesa hiyo nikaforce kuifanya na kumwoba anipeleke nikaifanye kazi hioyo alinuna ila alinipeleka ajabu baada ya kumaliza akawa anaulizia malipo yaani hadi tukagombana. Hii ni mojawapo tu ya mifano.

3. Hapa no way...unless na yeye wake unaujua everbit...otherwise stop that.
. Sasa ndugu yangu si anajua kuwa salary slip zinatokaga mwisho wa mwezi na mshahara? ikifika tu anakuuliza ole wako ukatae atanuna huyo na kukazania kusema kuwa una sehemu unapeleka pesa zako au una mradi wa siri ambao yeye kama 'mumeo' hajui.

Kweli unatumiwa na inaonekana pengine umezimia mapigo ndo maana yote haya yamekutokea. It happened to me once na nilijivundisha...baada ya kufilisiwa kabisaaa...so dont end up like me. All the best

. Mh aksante kwa tahadhari. Nami ninahisi hicho hicho ananitumia inauma sana kwa nini upretend ? please tell me more what did you do and how did you do that to unhook yourself?
 
Nani alianza kumpenda mwenzie?
Si alikuja yeye na kukukwambia kuwa amekupenda na bla bla kibao na wewe ukashawishika kumpenda au wewe ulianza kumshawishi yeye?

It all started as a blind date....... tulikutanishwa na mtu then tukapendana. Akanambia yake nikamwambia yangu. Katika kunambia yake alisema kuwa hajajaliwa mali bali moyo wa upendo (au ndio uongo wenyewe huo!). Ni kweli hajajaliwa pesa kiviiile but since then mali kwangu hakikuwa kigezo cha kumpenda na ndio maana nikaamua kumpa moyo wangu akiwa hana kitu( sasa inawezekana alikuwa ananitega!)
 
Wanawake mna mambo..Sasa unasubiria nini kumwaga ugali?

Mtindio hicho ndicho kilichonifanya nije kutaka ushauri je kuna dalili nyingine zaidi ya hizi au ni kawaida ya wanaume nisijemmwaga kumbe ndo mlivyo. Ninampenda sana na analijua hilo.
 
Ah Brook ingawa imenisaidia kuondoa stress hii post yako. We acha tu hiyo global financia crunch inatatuliwa ma mshahara wangu tu. Mbaya sasa wadhani akiuchukua anautumia wisely? Sometimes tunagombana kuwa he is not responsible man anakwenda kunywea pombe na kutamba kwa marafiki zake aonekane anazo. Sometimes tunapokuwa na madeni kama maji hivi atatafuta njia za mkato ili mradi tu asilipe the amount inayotakiwa . Inanikera sana but ukimwambia anakujibu ' hapa ni mjini unafikiri watu wanaishi kama unavyofikiria wewe?'

kushangilia kwake yaani huwa ni kwa muda ukishampatia hiyo pesa na maagizo mliyokubaliana mzifanyie yanasahaulika then anazitumia anavyojua yeye sasa uje umwulize hebu zile pesa zimekwisha umefanyia nini weee ni ugomvi kwamba unamsimanga pesa yenyewe pesa gani (ukitizama hiyo anayosema pesa gani yeye hata robo yake sioni zinakokwenda) na ole wako upate pesa usimpe yaani utanuniwa humo ndani hadi ujute.





kuna hitilafu mahali, mapema mno kuyaonyesha haya.
 
Mtindio hicho ndicho kilichonifanya nije kutaka ushauri je kuna dalili nyingine zaidi ya hizi au ni kawaida ya wanaume nisijemmwaga kumbe ndo mlivyo. Ninampenda sana na analijua hilo.

Kila mwanaume kaumbwa tofauti na ana maono yake. Huyo bwana ana matatizo, tena makubwa na inaonekana umeyalea mwenyewe na sasa yameshakua.

Ulevi, kuficha cmu na kugombea pesa yako, kitakachofuata ni maradhi yasiyotibika.
 
Hapo dada umenigusa ninampenda sana na analijua hilo. Tatizo ni kuwa nina wasiwasi na mapenzi yake kwangu. Huwezi amini hatupiti wiki bila kugombana na sometimes kisa kidogo sana kisicho na kichwa wala miguu. Sometimes ninaamini kabisa kuwa ananipenda nikiwa na kitu otherwise hanirespect hata nikimwambia kitu kama 'mke' anakipuuza mfano akichelewa kurudi nyumbani nikimwambia sipendi unavyotembea usiku ninakuwa na wasi wasi kama uko salama (ukizingatia uwezo wake wa kunywa na kulewa; leo utamsema karudi saa sita kesho atakurudia tisa. Nimefikia hatua ya kukaa kimya akirudi usiku sisemi kitu.

Tatizo ni kuwa tumeishi nawe muda mrefu na watu wengi (familia) wanatutambua kama mtu na mkewe sasa hafikiria nitaanzaje kumwacha sometimes huwa ninaomba Mungu apate nyumba ndogo ili anipunguzie kero.


hilo swity ni tatizo, ishi utakavyo/upendavyo, usiishi kwa kuridhisha mtu au mtu atakufikiriaje, hapana! somgombingo utakalolipata humo ndani cc wa nje ha2jalijua, kwanini ujitese?
 
It all started as a blind date....... tulikutanishwa na mtu then tukapendana. Akanambia yake nikamwambia yangu. Katika kunambia yake alisema kuwa hajajaliwa mali bali moyo wa upendo (au ndio uongo wenyewe huo!). Ni kweli hajajaliwa pesa kiviiile but since then mali kwangu hakikuwa kigezo cha kumpenda na ndio maana nikaamua kumpa moyo wangu akiwa hana kitu( sasa inawezekana alikuwa ananitega!)



mami ucje jitesa maishani, naona kama vile anachukulia ishu ya yeye kutokuwa na kipato kikubwa kama advantage ya kukukandamiza wewe, hapana uckubali, umempa moyo wako sasa anataka kuuchezea, kwanini usihoji pesa mliyoipangilia mfanyie kitu fulani then hakijafanyika na hataki kuulizwa? angekuwa mpenda maendeleo huyo angejua kabisa hapo alipo na wewe ndio kwenye maendeleo na angeheshimu matumizi yenu kiujumla, mami kaa chonjo, siku na wewe ukiwa ki ukweli huna hizo pesa za kumpatia itakuwaje? (mambo mengi, may b familia yako hivi au vile wanahitaji msaada wako utaacha kuwasaidia jus bcuz umpatie man pesa?)
 
Back
Top Bottom